Kutovaa barakoa nalo tamko la kisiasa?

Kutovaa barakoa nalo tamko la kisiasa?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1613806944674.png


Sayansi huwa haikopeshi.
Ukiichezea inakuumbua, maana sayansi kama Mungu alivyo, sayansi ni UKWELI.
Hatuwezi kuudhibiti ukweli, hata uwe na nguvu kubwa sana ya kisiasa.

Tunajua kuwa kuna tatizo kubwa sasa hivi la vifo vinavyo sababishwa na changa moto ya kupua.
Wewe ita nimonia (pneumonia), lakini wengine wanakuwa wakweli kusema ni covid10.

Tatizo ni kwamba iwe nimonia au covid lakini LINAUA.
Tukilijua hilo ambalo ni elimu kubwa sasa turudi kwenye jinsi ya kulidhibiti.

Tukijua kuwa gonjwa hilo linasambazwa na hewa, na kinga rahisi kuliko zote ni barakoa, kwanini wananchi wasihamasishwe kwa nguvu zote kujikinga na hilo gonjwa?

Viongozi wa juu wengi wanakufa kwa kukosa maarifa.
Kwa nini hawavai barakoa na kuchukulia kitendo cha kuvaa au kutovaa barakoa kuwa tamko la kisiasa?
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
Jibu hoja mkuu, tuvae au tsivae barakoa na kusali badala yake?
Msijishaue shaue huku watu wanakufa!
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
Mkuu asante umeona mbal mkuu maan tumekuwa vigeugeu
 
Sasa kama unaishi kwa historia kwa nini wewe upo mwaka huu.
Kupitia changamot katika huduma ya kimung ni kawaida na nikipimo cha iman mkuu lazim@ upitie haya na endap iman yetu tukaamin katika sayans nakuambia mtapukutika mpka maneno hay utayakumbuka
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
Viruses wa mwaka jana walikuwa wachumba tu..hii variant ya second wave ni deadly..ndo maana watu wanapukutika..maombi sio lolote..watu wasingehangaika kutafuta dawa za magonjwa mbalimbali,bali tungekuwa tunafunga tu na kuomba..tumepewa akili tuzitumie kutatua changamoto wisely..
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
Mkuu kuvaa au kutovaa barakoa kuna uhusiano gani hapa.
Tunawapongeza wanaojali na kuvaa barakoa ili kupunguza maambukizi.
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
Mliomuunga mkono ni wapumbavu. Hamjui maambukizi ya virus huwa yanakuja kwa awamu za milipuko? Inakuja awamu ya kwanza, intatulia kidogo, inakuja awamu wa pili inatulia na isipodhibiwa itakuja tena awamu nyingine. Sasa kwa ufinyu wenu wa mawazo mkadhani Mungu ndiye aliyeituondoa! Kwani hizo nchi nyingine Mungu hayupo?
 
Viruses wa mwaka jana walikuwa wachumba tu..hii variant ya second wave ni deadly..ndo maana watu wanapukutika..maombi sio lolote..watu wasingehangaika kutafuta dawa za magonjwa mbalimbali,bali tungekuwa kunafunga tu na kuomba.
Quite right!
Mungu katupa akili na utashi wa kupambaniua mema na mabaya.
Ametupa na akili ya kujilinda na magonjwa na kutafuta njia za kujilinda.

Swali dogo tu linawatoa homa.
TUVAE AU TUSIVAE BARAKOA?
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu
Mataahira hamtaisha dunia hii
 
Yako makatazo. Ziko tahadhari ukizifuata zina majibu.
Mfano ukimwi: tumia kondom/acha kabisa/kuwa na mpenzi mmoja....
Utapuuzaje hayo mfano kuvaa barakoa penye hatari kisha umsingizie Mingu
 
Nimeamini kuwa, Uongozi si kitu cha mchezomchezo, Mimi nakubaliana kabisa na wakuu wa nchi wawe wanapokea mkwanja wa juu zaidi, Maana huwenda wanamaisha magumu mioyoni mwao kuliko hata mlala Hoi

Mwaka Jana, Ni dhahiri Shairi kuwa, tuliishinda Korona, na tuliishinda Kwa maombi pekee, na mtu siwezi kumweliewa ati aseme tulikuwa tukinawa Sana, kuvaa barakoa Sana na kutokutengeneza umati wa watu, stamwelewa Kwa sababu, hata nchi nyingine zilifanya huo mtindo lkn Korona haikuwaacha Hadi wimbi la maambukizi ya pili yamekutana na wimbi la maambukizi ya awali

Kipindi hicho, kila mtu alimuunga mkono Raisi na kumpongeza Kwa maono na namna ajabu Korona iliyopotea, nakumbuka kina mh Lissu, alitaka kung'ang'ania agenda ya Corona eti IPO nchini, nakumbuka chama chake chenyewe kilimuonya kuwa hiyo agenda itampotezea wapiga Kura Kwa kuwa Korona haikuwepo

Sasa leo, kila mtu tena anamgeuka Raisi, kila mtu anamnyooshea kidole, kila mtu Anasema lake, kelele nyiiingi Kwa Serikali, unajiuliza, Tulipookoka na wimbi la maambukizi ya awali, mbona tulimwita shujaa, na tumshangilia Mungu?

Inavyotokea sasa, ndivyo ilivyokuwa hata kipindi cha awali, kila mtu alipiga kelele na kurusha kila Aina ya lawama Kwa Rai's

Kama tulipona mwaka Jana, Je, kunachochote tulimtunuku Raisi wetu Kwa kutuongoza vema ktk mapambano hayo licha kwamba nchi nyingine zilibaki Tete?

Rais wangu pole, na Mimi Naamini Kwa Imani yako hiyohiyo, itatuvusha tena, Na Mungu hajawahi kumwaibisha mja wake, najua katika hili kuna watu weengi na mataifa meengi wanaendelea kuucheka huu msimamo wako, na wamejiandaa kukucheka tena Kwa dharau, na huwenda kuna watu wanatamani waone vifo vikizidi kuongezeka Ili tu kukunanga wewe wakidhani wakikunanga wewe inatosha, hawajui pia kwamba watakuwa wakimnanga Yule unayemtegemea!!

Naungana nawe Raisi, kwamba Kwa Mungu pekee tutashinda, Tanzania imeandaliwa kuwa sehemu ya kuleta wokovu duniani

Kama tuliishinda mara ya Kwanza, tutashinda tena hili jaribu la pili,

Hata Ayubu alijaribiwa kwenye Mali zake, Kisha watu wake na Kisha yeye mwenyewe lakini aliahinda

Kila aliyeukimbilia msalaba alipata wokovu

Yaani nimecheka kwa nguvu ile mbaya, eti wakati huo kila mtu alimuunga mkono kwa kuishinda corona. Aliuungwa mkono na kila mtu, au kulitumika vitisho na kushurutisha watu waamini kuwa corona imeisha? Kilichofanyika ni serikali kuacha kutoa taarifa za wagonjwa na vifo na wala sio corona kuisha, msidhani kama tuna ujinga huo wa kuamini wapika data.

Jambo pekee wangalau aliungwa mkono na wengi ikiwemo mimi, ni kutokuweka watu lockdown,na hata sasa namuunga mkono kwenye kutokuweka lockdown,lakini kwenye mambo mengine hamna kitu. Usidhani kuminya uhuru wa vyombo vya habari basi ndio unatuondolea uwezo wetu wa kupima mambo. Awamu ya kwanza ya Corona haikuwa kali, ndio maana ilikua rahisi kuhadaa umma kuwa hakuna corona. Na wala hakuna maombi yanaondoa corona, huku serikali ikikwepa wajibu wake wa kununua vifaa tiba vya kutosha kila hospitali.
 
aya taanza kuvaa
Katika picha hapo juu ndiyo maana namheshimu sana Kikwete.
Ni mkweli wa dhamira hadharani.
Ni ukosefu wa dhamira njema kumlilia mwezetu aliyekufa , ilhali sisi wenyewe hatuvai kinga, barakoa ili kuudhibiti ugonjwa kibinafsi.
Unafiki Mungu hauuvumilii.
 
Back
Top Bottom