Kutoweka kwa Soka na wenzake, IGP, DPP, OCCID Temeke kufikishwa Mahakamani kwa Hati ya dharura

Kutoweka kwa Soka na wenzake, IGP, DPP, OCCID Temeke kufikishwa Mahakamani kwa Hati ya dharura

Hayo mambo yanachosha sana naona kabisa anguko la serikali ya Rais Samia likikaribia. Yetu macho na masikio.
Hahaha li NGO naona mnaweweseka, kinachowasumbua nini? Mbona mlisema anaipiga mwingi na mlikunywa na kuchinja mkisherehekea mwisho wa kutekwa na kuuawa kwa sababu mlisema Dkt Magufuli kafa hivyo ndiye alikuwa anaagizia utekaji na mauaji hahaha mkomeeeee kabisa wahuni nyie. Sisi tuliwaambia jamani kuna kikundi cha wahuni na siyo serikali mlitutukana badala tushirikiane kubaini chanzo ila mliendelea kusherehekea kifo cha Dk Magufuli
 
Hawa wameshauliwa. Mchengerwa hana mchezo na ugali wake.
 
Ikiwa ni siku chache baada ya kuripotiwa kutoweka kwa Kijana Deusdedith Soka ambaye ni Mwanachama wa Chadema mkazi wa Temeke Dar es Salaam pamoja na wenzake wawili, Wakili Paul Kisabo amefungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania chini ya Hati ya dharura dhidi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) na OCCID Temeke 'aliyewasiliana na Soka'.

Wengine ambao wameunganishwa kwenye kesi hiyo ni DZPC,ZCO,DPP na AG imesajiliwa leo August 23, 2024 kwa No 202408222000023998.

Ambapo kesi hiyo imepangwa kwa Mhe. Jaji Wilfred Dyansobera. Lakini bado haijapangwa tarehe rasmi ya kusikilizwa.
View attachment 3077377
Soka na wenzake Jacob Mlay na Frank Mbise waliripotiwa kutoweka August 18, 2024 wakiwa wanaelekea kituo cha Polisi ikidaiwa kuwa walipigiwa simu kwenda kufuatilia suala la pikipiki ya Soka iliyodaiwa kuibiwa.

Baadhi ya wanafamilia ambao walizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari August 22, 2024 ambapo mzungumzaji Mkuu alikuwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, walidai kuwa wameshafutalia kwenye vituo vya Polisi lakini hawajafanikiwa kuwaona wahusika hao, huku taarifa walizonazo ni kwamba wahusika walichukuliwa na Noah wakiwa njiani kuelekea kwenye kituo cha Polisi.

Soma KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdedith Soka atauawa na kutupwa msituni

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.

Aidha, Bw. Osama bin Laden alipokea lawama nyingi Sana kutoka kwa Serikali ya Marekani na CIA baada ya kutekeleza mashambulizi yake ya kutumia ndege, mashambulizi yanayojulikana sana kwa jina la September Eleven ya Mwaka 2001. Katika kujibu mapigo ya lawama hizo Osama bin Laden aliwajibu Marekani hivi:-

"If you undermine our security, we undermine yours too, and if you kill our people we kill yours too. The choice is yours."
 
Ikiwa ni siku chache baada ya kuripotiwa kutoweka kwa Kijana Deusdedith Soka ambaye ni Mwanachama wa Chadema mkazi wa Temeke Dar es Salaam pamoja na wenzake wawili, Wakili Paul Kisabo amefungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania chini ya Hati ya dharura dhidi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) na OCCID Temeke 'aliyewasiliana na Soka'.

Wengine ambao wameunganishwa kwenye kesi hiyo ni DZPC,ZCO,DPP na AG imesajiliwa leo August 23, 2024 kwa No 202408222000023998.

Ambapo kesi hiyo imepangwa kwa Mhe. Jaji Wilfred Dyansobera. Lakini bado haijapangwa tarehe rasmi ya kusikilizwa.
View attachment 3077377
Soka na wenzake Jacob Mlay na Frank Mbise waliripotiwa kutoweka August 18, 2024 wakiwa wanaelekea kituo cha Polisi ikidaiwa kuwa walipigiwa simu kwenda kufuatilia suala la pikipiki ya Soka iliyodaiwa kuibiwa.

Baadhi ya wanafamilia ambao walizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari August 22, 2024 ambapo mzungumzaji Mkuu alikuwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, walidai kuwa wameshafutalia kwenye vituo vya Polisi lakini hawajafanikiwa kuwaona wahusika hao, huku taarifa walizonazo ni kwamba wahusika walichukuliwa na Noah wakiwa njiani kuelekea kwenye kituo cha Polisi.

Soma KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdedith Soka atauawa na kutupwa msituni

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
Duuh......Ndio hawa walikuja kujipanga Mazimbu Morogoro Nyerere akawapa Ulinzi?
 
Back
Top Bottom