hassanrobert Member Joined Feb 10, 2015 Posts 25 Reaction score 3 Mar 9, 2015 #1 Jamani nataka kujua kuwa unaweza kutuma maombi wizara ya afya kama unaBiology-DKwa masomo mengine C flat kwa cheti cha form4,kwa miaka ya 2012-2008 kwa maana kulikuwa hakuna izo alama za gpa na mgawanyo wa sasa wa marks kwa madaraja ya B
Jamani nataka kujua kuwa unaweza kutuma maombi wizara ya afya kama unaBiology-DKwa masomo mengine C flat kwa cheti cha form4,kwa miaka ya 2012-2008 kwa maana kulikuwa hakuna izo alama za gpa na mgawanyo wa sasa wa marks kwa madaraja ya B
lendanai JF-Expert Member Joined Oct 19, 2014 Posts 375 Reaction score 280 Mar 9, 2015 #2 inawezekana mkuu,ingia hapa nacte.go.tz
hassanrobert Member Joined Feb 10, 2015 Posts 25 Reaction score 3 Mar 9, 2015 Thread starter #3 Thanx bro nilijua labda hiyo D inaniharibia sababu ya biology kuwa hairuhusu
S SEROTHERAPY Senior Member Joined Oct 24, 2014 Posts 199 Reaction score 26 Mar 9, 2015 #4 hassanrobert said: Thanx bro nilijua labda hiyo D inaniharibia sababu ya biology kuwa hairuhusu Click to expand... Daaaa mwananguu D ya bios!!!semaa private inakuhusuuu hapooo huwaa wanachukuaa kwa upande wa diplomaa lakinii serikalinii utapataa labda certificate
hassanrobert said: Thanx bro nilijua labda hiyo D inaniharibia sababu ya biology kuwa hairuhusu Click to expand... Daaaa mwananguu D ya bios!!!semaa private inakuhusuuu hapooo huwaa wanachukuaa kwa upande wa diplomaa lakinii serikalinii utapataa labda certificate
hassanrobert Member Joined Feb 10, 2015 Posts 25 Reaction score 3 Mar 10, 2015 Thread starter #5 Kwani mpaka upige vzur bios kaka maana mengine yako poa kama chemistry na physics "C"