Kutuma maombi Wizara ya Afya kwa waliomaliza kabla ya 2012

Kutuma maombi Wizara ya Afya kwa waliomaliza kabla ya 2012

hassanrobert

Member
Joined
Feb 10, 2015
Posts
25
Reaction score
3
Jamani nataka kujua kuwa unaweza kutuma maombi wizara ya afya kama unaBiology-DKwa masomo mengine C flat kwa cheti cha form4,kwa miaka ya 2012-2008 kwa maana kulikuwa hakuna izo alama za gpa na mgawanyo wa sasa wa marks kwa madaraja ya B
 
Thanx bro nilijua labda hiyo D inaniharibia sababu ya biology kuwa hairuhusu
 
Kwani mpaka upige vzur bios kaka maana mengine yako poa kama chemistry na physics "C"
 
Back
Top Bottom