Kutumbua watu wasio na vyeti makazini was not wise decision

Nyie ndo wenye vyeti feki huwa tunawatafuta .

Kichwa cha habari ni kiswahili halafu mada ni kizungu.
Mnajiona wasomi wenyeweee , hayo ndo matunda ya lugha na elimu ya kikoloni ,
Unakuwa brainwashed

haaaaaaaaaaa mbona na wewe umetumia kizungu,
 

Katika issue jiwe alizoboronga ni kuwatia watu umasikini na kuwasababishia vifo ni tumbua tumbua ,na mbaya zaidi hadi mafao yao kawanyima ,dhambi kubwa sana,hatosamehewewa kabisa.
 

Kwangu mini ni sahihi kabisa kuwaondoa haiwezekani wengine wasote kusoma halafu mwingine anatumia njia fupi mnakuwa mpo pamoja hapana. Halafu wanatamba maofisini na kuwaona waliosoma wajinga.Utawafanya watu watumie njia fupi/batili maana wanaona inawezekana na pia watu hawataona umuhimu na thamani ya elimu.
 
Acha uongo hujachangia lolote ungreacha kumshambulia Rebecca ukijikite huko kwa vidume wenzako lkn sio kudandika na kuharibu Mada km ww ni kiranja na hata Moderator hawapo hivyo
 
Kamuelekeze mamako, naandika ninachojiskia, sio kosa kutumia kingereza popote kwenye hii forums,ningeandika kikwetu si ndio ungekufa kabisa...wivu utakuua ndugu,
achana naye huyo anaweza kukutafutia BAN bure, niuzie mm hiyo Kesi
 
hao walio soma vp? wameajiliwa
 
Ukikuta post imeandikwa kwa lugha ambayo uelewi, jua kuwa wewe haukuwa mlengwa, pita mbali, sio kuanza kuporomosha matusi. Muanzisha mada sio aliyekusababishia kutoielewa hiyo lugha.
 
Your arguments are futile, it was never the govt intention to solve unemployment through removing your unqualified sponsor, the govt wanted efficiency and to reserve money for the big projects it was funding. And how dumb do you have to be to waste money training unqualified people just so they can do the jobs they don't deserve, while there are lots of qualified people who will not need any job training to do the same tasks?
 
Serikali ina mbinu nyingi sana za kubana matumizi.

NB: Serikali ni watu (mimi na wewe) lakini sio kila mtu anaweza kuwa na maamuzi ya nini serikali ifanye[emoji23][emoji23]
 
Nia ya ndani ilikuwa ovu kwa washauri wake hakuligundua mapema.wamsamehe bure wala wasimkasirikie wala wasimchukie itoshe kusema alichuzwa na washauri wake hasa yule jamaa aliyemwamini kwa sasa hayupo tena
 
Acha uongo hujachangia lolote ungreacha kumshambulia Rebecca ukijikite huko kwa vidume wenzako lkn sio kudandika na kuharibu Mada km ww ni kiranja na hata Moderator hawapo hivyo
Unawashwa nikukune?
 
Nimegundua wewe ni Dume
Kwani wewe ulikuwa unahisi mimi ni nani?
tena jinga sana
Mjinga ni wewe na familia yako/ yenu yote.
umeamka na stress zako kwa mwanamke
Si nilikuwa nawala wote unajisahaulisha?
wala unachoongea hakijulikani mara utupeleke kwenye post za wanaume km Rutabashonyuma
Wewe si unafahamika ni kindiga flani hivi ndio maana unatanguliza neno "wanaume" kabla ya jina ulilolikusudia.
wakati hujachangia kiingereza chochote kule
Acha ufala wewe k umepitia uzi wote?
Mara Max kakataza kuchanganya Kiingereza wakati watu wanaandika mpaka kilugha
Kwa hiyo nikusaidieje?
Mada inasema
KUTUMBULIWA WATU WASIO NA VYETI MAKAZINI WAS NOT WISE DECISION
kwanini usijikite hapo ?
Mwambie bibi yako aje achangie
unamshambulia mleta mada km una ugomvi naye alikunyima?
Muulize atakujibu
mara ajuza unajuaje umeingia PM zake
jamaa yangu tafuta Mada nyingine km bundle linakusumbua
Kindiga wewe usinipangie pakuchangia uzi wa kilofa kutoka kwa malofa na viingereza vya kipuuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…