Kutumbua watu wasio na vyeti makazini was not wise decision

Kutumbua watu wasio na vyeti makazini was not wise decision

Nyie ndo wenye vyeti feki huwa tunawatafuta .

Kichwa cha habari ni kiswahili halafu mada ni kizungu.
Mnajiona wasomi wenyeweee , hayo ndo matunda ya lugha na elimu ya kikoloni ,
Unakuwa brainwashed

haaaaaaaaaaa mbona na wewe umetumia kizungu,
 
Hello JF

leo nimewaza,

Displacing older workers with 'better educated young persons' has not been wise,,,,

,its unfair because these older people might have valid reasons as to why they are not qualified,......

one including missing (quality) education opportunities while they were young due to different factors such as poverty/accessibility.........................

its unwise to get someone out of office where he has been for more than ten(10) years.................................

Experience is invaluable tool and predict better job perfomance outcomes.....

in other places,for their valued experience.older adults are not being replaced...

instead, training analysis is done to identify skills/knowledge gap that they have....

And then training is given!

Sasa Magufuli alivyoingia madarakani akatumbua weeee mbona sasa wahitimu hawana kazi?

Watu walitegemea akitumbua,nafasi zitakuwepo kwa hao vijana walio better qualified....

Aaahh wapi ?!?

Becky

Katika issue jiwe alizoboronga ni kuwatia watu umasikini na kuwasababishia vifo ni tumbua tumbua ,na mbaya zaidi hadi mafao yao kawanyima ,dhambi kubwa sana,hatosamehewewa kabisa.
 
Hello JF

leo nimewaza,

Displacing older workers with 'better educated young persons' has not been wise,,,,

,its unfair because these older people might have valid reasons as to why they are not qualified,......

one including missing (quality) education opportunities while they were young due to different factors such as poverty/accessibility.........................

its unwise to get someone out of office where he has been for more than ten(10) years.................................

Experience is invaluable tool and predict better job perfomance outcomes.....

in other places,for their valued experience.older adults are not being replaced...

instead, training analysis is done to identify skills/knowledge gap that they have....

And then training is given!

Sasa Magufuli alivyoingia madarakani akatumbua weeee mbona sasa wahitimu hawana kazi?

Watu walitegemea akitumbua,nafasi zitakuwepo kwa hao vijana walio better qualified....

Aaahh wapi ?!?

Becky

Kwangu mini ni sahihi kabisa kuwaondoa haiwezekani wengine wasote kusoma halafu mwingine anatumia njia fupi mnakuwa mpo pamoja hapana. Halafu wanatamba maofisini na kuwaona waliosoma wajinga.Utawafanya watu watumie njia fupi/batili maana wanaona inawezekana na pia watu hawataona umuhimu na thamani ya elimu.
 
Njoo tujadili hapa hutaki meza wembe na viinglishi vyako vya yes ndio

Acha uongo hujachangia lolote ungreacha kumshambulia Rebecca ukijikite huko kwa vidume wenzako lkn sio kudandika na kuharibu Mada km ww ni kiranja na hata Moderator hawapo hivyo
 
Kamuelekeze mamako, naandika ninachojiskia, sio kosa kutumia kingereza popote kwenye hii forums,ningeandika kikwetu si ndio ungekufa kabisa...wivu utakuua ndugu,
achana naye huyo anaweza kukutafutia BAN bure, niuzie mm hiyo Kesi
 
Kwangu mini ni sahihi kabisa kuwaondoa haiwezekani wengine wasote kusoma halafu mwingine anatumia njia fupi mnakuwa mpo pamoja hapana. Halafu wanatamba maofisini na kuwaona waliosoma wajinga.Utawafanya watu watumie njia fupi/batili maana wanaona inawezekana na pia watu hawataona umuhimu na thamani ya elimu.
hao walio soma vp? wameajiliwa
 
Ukikuta post imeandikwa kwa lugha ambayo uelewi, jua kuwa wewe haukuwa mlengwa, pita mbali, sio kuanza kuporomosha matusi. Muanzisha mada sio aliyekusababishia kutoielewa hiyo lugha.
 
Did it help to solve unemployment rate?NO, even a fraction of it!, what justifies the move and who benefitted??...you dont have answers...qualified this qualified that,keep nonsense to your bloodyself! i dont think you even read my topic, incase you dont understand,people who are unqualified are made qualified while at work...someone who is experienced and is given training perfoms better .....ni hayo ndugu!
Your arguments are futile, it was never the govt intention to solve unemployment through removing your unqualified sponsor, the govt wanted efficiency and to reserve money for the big projects it was funding. And how dumb do you have to be to waste money training unqualified people just so they can do the jobs they don't deserve, while there are lots of qualified people who will not need any job training to do the same tasks?
 
Serikali ina mbinu nyingi sana za kubana matumizi.

NB: Serikali ni watu (mimi na wewe) lakini sio kila mtu anaweza kuwa na maamuzi ya nini serikali ifanye[emoji23][emoji23]
 
MTANISHUKURU BAADAE

Sasa Magufuli alivyoingia madarakani akatumbua weeee mbona sasa wahitimu hawana kazi?

Watu walitegemea akitumbua,nafasi zitakuwepo kwa hao vijana walio better qualified....
Kuondoa wafanyikazi wakubwa na 'vijana walio na elimu bora' haikuwa busara ,,,,

, sio haki kwa sababu wazee hawa wanaweza kuwa na sababu halali za kwanini hawastahiki, ......

moja ikiwa ni pamoja na kukosa fursa za elimu (bora) wakati walikuwa wadogo kwa sababu ya sababu tofauti kama umaskini / upatikanaji ...

sio busara kumtoa mtu ofisini ambapo amekuwa kwa zaidi ya miaka kumi (10) .............................. ...

Uzoefu ni zana muhimu sana na utabiri matokeo bora ya utaftaji wa kazi .....

katika maeneo mengine, kwa uzoefu wao wa kuthaminiwa. watu wazima wazee hawabadilishwi ..

badala yake, uchambuzi wa mafunzo unafanywa ili kutambua pengo la ujuzi / maarifa waliyonayo ....

Na kisha mafunzo hutolewa!

Sasa Magufuli alivyoingia madarakani akatumbua weeee mbona sasa wahitimu hawana kazi?

Watu walitegemea akitumbua, nafasi zitakuwepo kwa hao vijana walio na sifa bora ....
Nia ya ndani ilikuwa ovu kwa washauri wake hakuligundua mapema.wamsamehe bure wala wasimkasirikie wala wasimchukie itoshe kusema alichuzwa na washauri wake hasa yule jamaa aliyemwamini kwa sasa hayupo tena
 
Acha uongo hujachangia lolote ungreacha kumshambulia Rebecca ukijikite huko kwa vidume wenzako lkn sio kudandika na kuharibu Mada km ww ni kiranja na hata Moderator hawapo hivyo
Unawashwa nikukune?
 
Nimegundua wewe ni Dume
Kwani wewe ulikuwa unahisi mimi ni nani?
tena jinga sana
Mjinga ni wewe na familia yako/ yenu yote.
umeamka na stress zako kwa mwanamke
Si nilikuwa nawala wote unajisahaulisha?
wala unachoongea hakijulikani mara utupeleke kwenye post za wanaume km Rutabashonyuma
Wewe si unafahamika ni kindiga flani hivi ndio maana unatanguliza neno "wanaume" kabla ya jina ulilolikusudia.
wakati hujachangia kiingereza chochote kule
Acha ufala wewe k umepitia uzi wote?
Mara Max kakataza kuchanganya Kiingereza wakati watu wanaandika mpaka kilugha
Kwa hiyo nikusaidieje?
Mada inasema
KUTUMBULIWA WATU WASIO NA VYETI MAKAZINI WAS NOT WISE DECISION
kwanini usijikite hapo ?
Mwambie bibi yako aje achangie
unamshambulia mleta mada km una ugomvi naye alikunyima?
Muulize atakujibu
mara ajuza unajuaje umeingia PM zake
jamaa yangu tafuta Mada nyingine km bundle linakusumbua
Kindiga wewe usinipangie pakuchangia uzi wa kilofa kutoka kwa malofa na viingereza vya kipuuzi tu
 
Back
Top Bottom