Kutumia antifungal injection

thnx mkuu ngoja nijaribu coz nshatumia almost kila dizain tabs na topocals but bada ya mda inarejea tena
Fanya hivyo ulete mrejesho hiyo ketoconazole iko burned lakni ukiipata ni the best mkuu.....
 
ok mkuu nko najitaid xn to get easy again much apprec to yu hop more cooprt in later cases
 
Fungus wanashambulia kwa sababu
1. Damu ina sukari
2. Immune system iko chini.

Kabla hamjafika mbali rafiki yako apime damu kwa diabetes, HIV na apine pia TB
Plz mimi si daktari.
Nice
 
nami mhanga mkuu nlikuwa mfuasi wa cunnilungus so ni victim wa C.albicans systematic so ukipata soln let me know thanks in adv.
Kwahiyo umefikia wapi mkuu
 
Je anaoga kwa wakati maana kwa wakazi wengi hasa dar jasho linagandamana mpaka ukwangue na scraper,aoge vizuri kwanza then tupe mrejesho.
Hahaa,jamaa ni mtu safi sana mkuu
 
Ahsante sana mr md
 
Mimi nasumbuliwa na huo ugonjwa,yaani korodani zinawasha sana na ukizigusa unasikia maumivu makali sana hasa usiku,huwa silali mpaka kuna pambazuka,na zinakuwa kavu ngozi inatoka inaanza ngozi mpya,lakini hayo maumivu hayapoi ni muda sasa,kuna dawa ya kupaka natumia sk derm cream pia nimeandikiwa fluconazole nakunywa mara moja kwa wiki lakini sioni improvement yoyote,ila hakuna kipimo nilichofanya
 
jaribu nystatin mkuu ni nzuri kwa candidiasis sugu mi imenisaidia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…