Kutumia bil. 600 kwenye sensa ni ufisadi

Nyie ni wapumbafu. Ukute mtaa mzima mnashi kwenye nyumba zenye fensi.
Badala ya kujenga fensi, kwa nini msingejikusanya majirani kumi mkachanga mil moja moja mkachimba kisima kirefu mkapata maji?
 
Watu wamepiga.
Kwanini mabilion kama haya wasiyatumie kwenye kujenga na kuweka sawa septa ya kilimo kuanzia mashamba,miundombinu ya umwagiliaji,mbolea nk
Ili watu wajikite huko .....mbona sehemu kama hizo hakuna msukumo

Ova
 

Fanya hivi weka idadi ya makarani nchi nzima, weka kiwango cha pesa wanayolipwa kwa siku. Vishikwambi bei hai zidi 500,000
 
WAKATI WANAWATOZA WATANZANIA KODI NA MATOZO MBALIMBALI,
NA WAO WAWE NA HURUMA KWENYE MATUMIZI ZA PESA ZINATOTOKANA NA KODI,TOZO

ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…