Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntaipata wapi hiyo black seed oils[/Q upo mkoa gani mkuu
Utakapo kuwa huna nguvu za kiume na huwezi kuwafikisha wanawake kileleni. Wanawake watakapo kukimbia utagunduwa ni kweli nguvu za kiume ni maradhi.Inatibu maradhi yote? including nguvu za kiume? but sijajua kama nguvu za kiume ni maradhi au?
Ni dawa ya kutibu nini mkuu?Habbat Sawda kuitumia kw akila amra sio mbaya na wala haina amdhara ila hiafai kwa mtu ambae hana amradhi kula dawa. wewe tangu lini umemuona mtu mzima hana maradhi akanywa dawa ya Asprin?
Ni Dawa ya kutibu kila maradhiNi dawa ya kutibu nini mkuu?
Assalam alleykum,naomba kujua ni siki ipi inafaa kuchanganyia habbat soda ya unga kwa matibabu ya kinywaHabbat Sawda kuitumia kwa kila mara sio mbaya na wala haina madhara ila hiafai kwa mtu ambae hana maradhi kula dawa. Wewe tangu lini umemuona mtu mzima hana maradhi akanywa dawa ya Asprin?
Naomba kujua jinsi ya kuchanganya ili nitibu magonjwa yote yanayonisumbua DrPrescription Drugs Addiction and Pharma
The pharmaceutical industry does not create cures, they create customer$
View attachment 461990
''THE PERFECT DRUG,FROM THE POINT OF VIEW OF A DRUG COMPANY,IS ONE THAT DOESN'T CURE PEOPLE, BECAUSE PEOPLE NEED TO TAKE THE DRUG FOR A LONG PERIOD OF TIME IN ORDER FOR IT TO BE PROFITABLE.'
Kuna Kipindi nilianza kuitumia ila nikajiona kama nakula sumu tu... kuna Duka la Matunda kariakoo karibu na msikiti wa Idrisa Jamaa kaweka wazi na kijiko ukinunua juice ya Tende,Karoot, au Juice yake anaiita Dawa ina Vitunguu Saum,Mbengu sijui ni za Haradali Yaani ya ajabu ajabu anaisaga kwenye blender mwisho anachanganya na hiyo habart soda ukimeza ni chungu ati ni dawa inatibu maradhi mengi na
Habat sauda sio chungu hata kidogo hiyo haikuwa habat soudamafuta n.k n.k so watu wanajimezea tu kila siku nilianza kuitmia nikijisemea najiweka fit kama wiki mbili hivi kuna siku nikaanza hisi kama naugua nikaacha sijaijaribu tena...
Nadhani mauchafu yanajijaza tumboni.. Kama Huumwi bora kuachana nayo madawa meusi na machungu sidhani kama ni mazuri kwa afya baadae.