Kutumia Hisa Kuombea Mkopo

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Habari zenu wakuu,

Naomba mnielimishe kuhusu kuomba mkopo kupitia hisa zako ambazo umenunua Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). Nimekuwa nikisikia kuhusu hilo lakini sina undani wa taarifa zake.

Kwa mfano; Ni vigezo gani huwa vinatumika kupanga kiwango cha fedha ambacho unaweza kukopa katika Bank husika kupitia hisa zako? Je ni uwingi wa hisa? au inategemeana ni hisa za kampuni gani?

Asanteni.

Dr MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
Amount loanable < value of shares
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…