Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Habari zenu wakuu,
Naomba mnielimishe kuhusu kuomba mkopo kupitia hisa zako ambazo umenunua Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). Nimekuwa nikisikia kuhusu hilo lakini sina undani wa taarifa zake.
Kwa mfano; Ni vigezo gani huwa vinatumika kupanga kiwango cha fedha ambacho unaweza kukopa katika Bank husika kupitia hisa zako? Je ni uwingi wa hisa? au inategemeana ni hisa za kampuni gani?
Asanteni.
Dr MCHUNGUZI HURU (PhD)
Naomba mnielimishe kuhusu kuomba mkopo kupitia hisa zako ambazo umenunua Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). Nimekuwa nikisikia kuhusu hilo lakini sina undani wa taarifa zake.
Kwa mfano; Ni vigezo gani huwa vinatumika kupanga kiwango cha fedha ambacho unaweza kukopa katika Bank husika kupitia hisa zako? Je ni uwingi wa hisa? au inategemeana ni hisa za kampuni gani?
Asanteni.
Dr MCHUNGUZI HURU (PhD)
Last edited by a moderator: