kwa mtazamo wangu ni kweli utumiaji kondom inapunguza upendo coz utakuta wasichana wengi wanasema nmepata boy mpya bt natumia nae kondom ukimuuliza atakwambia sijampenda niki2mia nae kondom nitaanza kumpenda?dat y nasema kondom inapunguza upendo wa dhat.
Kondom ni kinga kwani huzuia magonjwa ya zina then hta unplanned pregnancy so am not sure that inapunguza upendo
Ila wanawake hawapendi kabisa condom, utakuta visingizio kibao mara mafuta yake mabaya, mara zinaumiza, mara condom sio tamu. Wanaume tuwe ngangari na tuwe ndio chanzo cha mabadiliko kwa kusisitiza kutumia condom wakati wote ili kuliokoa taifa lisiangamie kwa ukimwi. Always use condom.
Mwaaaaa!Kwa experiance niliyonayo mwanaume ndio mwenye uamuzi tutumie kondom au tupige dry wanawake huwa hawana say wakisha lainika yaani ni kuchovya tu baadae ndo atakuuliza hukuvaa mprira! Mungu mkubwa watu hubadilika na namwomba awabadilishe wale wazinzi na walevi.
Mwaaaaa!
kwa mtazamo wangu ni kweli utumiaji kondom inapunguza upendo coz utakuta wasichana wengi wanasema nmepata boy mpya bt natumia nae kondom ukimuuliza atakwambia sijampenda niki2mia nae kondom nitaanza kumpenda?dat y nasema kondom inapunguza upendo wa dhat.
Kwa experiance niliyonayo mwanaume ndio mwenye uamuzi tutumie kondom au tupige dry wanawake huwa hawana say wakisha lainika yaani ni kuchovya tu baadae ndo atakuuliza hukuvaa mprira! Mungu mkubwa watu hubadilika na namwomba awabadilishe wale wazinzi na walevi.