twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
kwa mtazamo wangu ni kweli utumiaji kondom inapunguza upendo coz utakuta wasichana wengi wanasema nmepata boy mpya bt natumia nae kondom ukimuuliza atakwambia sijampenda niki2mia nae kondom nitaanza kumpenda?dat y nasema kondom inapunguza upendo wa dhat.