Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haizuii. Ila lubricant inafanya mambo yasiwe mengi utelezi uwe kimo cha hanang.Habari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
Nijuavyo kutumia mafuta hakuzuii STIs. Mfano ukijipaka vaseline yako baada ya kuoga kisha baadae ukaenda kufanya unprotected sex una uwezekanao mkubwa wa kuwa infected.Habari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
unapata fanya kutafta zile emmergency pills mzeeKwahyo HIV unaweza kupata, au haiwezekani?
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Asante kwa ushauri Mkuu.Nijuavyo kutumia mafuta hakuzuii STIs. Mfano ukijipaka vaseline yako baada ya kuoga kisha baadae ukaenda kufanya unprotected sex una uwezekanao mkubwa wa kuwa infected.
Hata usipojipaka mafuta pia unaweza kupata STIs.
So issue sio kutumia/kujipaka mafuta. Issue ni kuacha ngono. Oa ukae na mke wako mmoja ambae mmepimana afya zenu ziko okay.
hizohizoNdio zipi hizo, au PEP Mkuu?
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Zile hazishauriwi kutumika mara kwa mara, na pia zile dawa ni mahususi kwa watu walioathirika ndani ya masaa 72 tu.hizohizo