Hata mfanyie mapenzi ndani ya pipa la vilainishi, gono hajali. Lazima uwepo wake ujulikane.Habari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
ndio hivo lubricants haziepushi stisZile hazishauriwi kutumika mara kwa mara, na pia zile dawa ni mahususi kwa watu walioathirika ndani ya masaa 72 tu.
Nazijua hizo dawa Mkuu, mara nyingi zinatumika kuzuia ukimwi na unakunywa for a whole month.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Habari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
In simple words ni kwamba unataka kutumia mafuta mkuuHabari zenu Wakuu,
Kuna ukweli wowote kuwa ukitumia mafuta/lubricant unaweza kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono?
NAOMBA MNIJIBU WAKUU
Kuoa kuna husiana vipi na mada Yako?Asante Mkuu, Kuoa hakuzuiliki sasa!
MIPIRA HAINA LADHA KABISA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue