SoC04 Kutumia Mifumo ya Blockchain katika Usimamizi wa Ardhi na Hati za Umiliki

SoC04 Kutumia Mifumo ya Blockchain katika Usimamizi wa Ardhi na Hati za Umiliki

Tanzania Tuitakayo competition threads

Erica Mukama

New Member
Joined
May 16, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Wazo hili linahusu matumizi ya teknolojia ya blockchain katika usimamizi wa ardhi na hati za umiliki ili kuongeza uwazi, usalama, na ufanisi katika sekta ya ardhi nchini Tanzania.

Blockchain ni teknolojia ya kuhifadhi taarifa katika mfumo wa kidijitali ambao ni salama na haubadiliki. Kila kipande cha taarifa (block) kinaunganishwa na kipande kingine, na hivyo kujenga mnyororo (chain) unaofuatilika kwa urahisi na usioharibika.

Blockchain inaruhusu uwazi kwa kufanya taarifa za umiliki wa ardhi kupatikana hadharani. Hii inazuia udanganyifu na hila katika utoaji wa hati za umiliki.
 
Upvote 2
Blockchain inaruhusu uwazi kwa kufanya taarifa za umiliki wa ardhi kupatikana hadharani. Hii inazuia udanganyifu na hila katika utoaji wa hati za umiliki.
Naaam, uwazi na uwajibikaji. Yaani mmiliki anakuwa anajulikana waziwazi maana ndiyo yupo mwishoni.

*Ps. Sasaa, ongezea ongezea nyama uongeze uwezekano wa kushinda
 
Back
Top Bottom