Kutumia simu karibu na jiko la gesi inaweza kusababisha mlipuko?

Kutumia simu karibu na jiko la gesi inaweza kusababisha mlipuko?

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
893
Reaction score
1,021
Wataalamu watupe Elimu zaidi, sasa hivi wengi wanapika kwa kutumia gesi. Je, ni kweli kwamba unapotumia simu karibu na jiko la gesi wakati wa kupika kunaweza kusababisha mlipuko?
 
Wataalamu watupe Elimu zaidi, asaivi wengi wanapika kwa kutumia gesi. Je, ni kweli kwamba unapotumia simu karibu na jiko la gesi wakati wa kupika kunaweza kusababisha mlipuko?
There is no evidence that a cell phone can start a fire while using a gas cooker. However, cell phones can create sparks that could ignite flammable vapors, like gasoline or natural gas
 
Wataalamu watupe Elimu zaidi, asaivi wengi wanapika kwa kutumia gesi. Je, ni kweli kwamba unapotumia simu karibu na jiko la gesi wakati wa kupika kunaweza kusababisha mlipuko?
Yes, kuna Ukweli kuhusu suala hili.
Simu inapokuwa inatumika karibu na chemikali (penye nishati za visukuku zinazoweza kulipuka na kuanzisha moto(inflammables) au gesi inaweza kuwa chanzo au kiini Cha kuanzisha moto. Kumbuka: Simu zote kabisa zinatumia battery ambazo ni good source of heat, sparks and/or open flames.
 
Kuna hii video imekuwa ikizungushwa huko mitandaoni wanadai wanafamilia hawa wamelipukiwa na moto wa gesi. Ulio sababishwa na simu.

Sasa sidhani kama kuna ukweli au?

Ndio maana watu wengi wamepata maswali kama kuna ukweli au laah!
 
Mimi ni Profesa Kichuguu. Nakuambia kuwa hiyo siyo kweli; mtungi wa gesi unaweza kulipuko kutokana na kuwa kwenye mazingira ya joto kali tu.
It's not safe to use a mobile phone while cooking with a gas cooker if there's a gas leak. A spark from the phone could ignite the gas, causing a fire or explosion (LNG manufacturer's/supplier's user warning)
 
It's not safe to use a mobile phone while cooking with a gas cooker if there's a gas leak. A spark from the phone could ignite the gas, causing a fire or explosion (LNG manufacturer's/supplier's user warning)
Gas leak itasababisha moto kwa sababu zozote zile siyo cellphone tu, na hayo ni makosa ya mtumiaji siyo kwa sababu ya cellphone. In fact kukiwa na gas leaks huwezi hata kupika kwa vile leaks hizo zitasababisha jiko lako kuungua. Unatakiwa uzuie gas leaks kabisa kwani zaidi ya kusababisha moto, pia ni sumu kwa binadamu.
 
Gas leak itasababisha moto kwa sababu zozote zile siyo cellphone tu, na hayo ni makosa ya mtumiaji siyo kwa sababu ya cellphone. In fact kukiwa na gas leaks huwezi hata kupika kwa vile leaks hizo zitasababisha jiko lako kuungua. Unatakiwa uzuie gas leaks kabisa kwani zaidi ya kusababisha moto, pia ni sumu kwa binadamu.
Radiation from a mobile phone can cause an explosion when it meets on a parallel line with the radiation from a leaking gas cylinder
 
Radiation from a mobile phone can cause an explosion when it meets on a parallel line with the radiation from a leaking gas cylinder
That is a blank lie if you do not specify what kind of radiation will cause that explosion. Typically, gas explosions require infra-red radiation, and cellphones operate in the microwave range, which is far below the infra-red range.

I am not sure if your name of DR VRM reflects your knowledge depth in engineering, since any Ph.D. holder in engineering should know these matters clearly.
 
That is a blank lie if you do specify what kind of radiation will cause that explosion. Typically, gas explosions require infra-red radiation, and cellphones operate in the microwave range, which is far below the infra-red range.

I am not sure if your name of DR VRM reflects your knowledge depth in engineering, since any Ph.D. holder in engineering should know these matters clearly.
mimi siyo engineer, ila kitaaluma ni healer (Med Dr), hizo info nimejitafutia madesa tu, ili niwe naufahamu, because, I happened to attend the victims of such accidents, so nikawa najiongezea elimu ili kuwa educate wateja wangu and others, as a prevention stratergy
 
There is no evidence that a cell phone can start a fire while using a gas cooker. However, cell phones can create sparks that could ignite flammable vapors, like gasoline or natural gas
Mambo ya Google haya. Tahadhari ni muhimu
 
Wataalamu watupe Elimu zaidi, asaivi wengi wanapika kwa kutumia gesi. Je, ni kweli kwamba unapotumia simu karibu na jiko la gesi wakati wa kupika kunaweza kusababisha mlipuko?
Betri za simu zinaweza kulipuka zikiwa exposed na joto zinaweza kulipuka.
Ila nadhani mpaka ipate kiasi hicho cha joto na wewe uliyeishika utakuwa umeungua mkono
 
mimi siyo engineer, ila kitaaluma ni healer (Med Dr), hizo info nimejitafutia madesa tu, ili niwe naufahamu, because, I happened to attend the victims of such accidents, so nikawa najiongezea elimu ili kuwa educate wateja wangu and others, as a prevention stratergy
Basi theories ulizojifunza siyo sahihi; sikiliza ukweli kutoka kwa mainjinia kama mimi. Cellphones zinaoperate katika frequencies za kuanzia 3GHz hadi 3THz, na infra-red radiation inayosabaisha moto iko kwenye frequencies za kuanzia 3THz hadi 405THz. Ile Near-infra red tadiation ambayo ndiyo hasa inayosababisha moto inaazia 200THz.

Vyanzo vingi vya moto kwenye vituo vya mafuta na maeneo yenye leakage ya gesi siyo signals za cellphone bali ni electrostatic dischage ambayo pamoja na mambo mengine inategemea na nguo ulizovaa (nylon huvuta electronstatic chrages) sana, na hali ya hewa ya eneo husika. maeneo yenye dry air yana accumulate electrostatic charge sana.
 
Back
Top Bottom