Kutumia simu karibu na jiko la gesi inaweza kusababisha mlipuko?

Kutumia simu karibu na jiko la gesi inaweza kusababisha mlipuko?

Basi theories ulizojifunza siyo sahihi; sikiliza ukweli kutoka kwa mainjinia kama mimi. Cellphones zinaoperate katika frequencies za kuanzia 3GHz hadi 3THz, na infra-red radiation inayosabaisha moto iko kwenye frequencies za kuanzia 3THz hadi 405THz. Na ile Near-infra red ambayo ndiyo inasababisha moto inaazia 200THz.

Vyanzo vingi vya moto kwenye vituo vya mafuta na maeneo yenye leakage ya gesi siyo signals za cellphone bali ni electrostatic dischage ambayo pamoja na mambo mengine inategemea na nguo ulizovaa (nylon huvuta electronstatic chrages) sana, na hali ya hewa ya eneo husika. maeneo yenye dry air yana accumulate electrostatic charge sana.
Hebu endelea zaidi

Ila gesi inasababisha kulipuka
 
Kuna hii video imekuwa ikizungushwa huko mitandaoni wanadai wanafamilia hawa wamelipukiwa na moto wa gesi. Ulio sababishwa na simu.

Sasa sidhani kama kuna ukweli au?

Ndio maana watu wengi wamepata maswali kama kuna ukweli au laah!
View attachment 3206027
Ajali ya moto aisee sad indeed!!!

Huyo brother kapagawa atakuwa amefia hapo hapo reception,kulikuwa hamna namna ya kumzuia asidondoke chini vibaya hivyo?all in all ni kujipangilia tu,hakuna sababu ya kutumia simu ukiwa jikoni unapika tujifunze kutenganisha hizo shughuli.
 
Ninachojiuliza ni kwa nini ule moto wa jiko hausababishi mlipuko ila simu isababishe?
 
Wataalamu watupe Elimu zaidi, asaivi wengi wanapika kwa kutumia gesi. Je, ni kweli kwamba unapotumia simu karibu na jiko la gesi wakati wa kupika kunaweza kusababisha mlipuko?
Jaribu kupata jibu mfano unaenda kwenye vituo vya mafuta unakutana na ujumbe unaokutaka uzime simu yako. Unadhani ni kwa nini? Kifupi ni kwamba wakati simu inaita husababisha cheche ndogo sana hizo ndizo huweza kusababisha moto ikiwa utakuwa karibu na kilipuka kama petrol au gas.
 
Dakitari kwani wewe ni dokita wa nini haswa kwa maana madaktari wakusomea kutibu wanakuwa na background ya kusoma physics.Mwenzetu wewe udocta wako ni wa heshima au???

Au umejitunuku TITTLE ambayo ulitamani sana kuwa nayo ila ndo vile tena mwenzangu na mie mfumo ulikukataa.

📌Natanguliza shukrani🤝😁
 
Dakitari kwani wewe ni dokita wa nini haswa kwa maana madaktari wakusomea kutibu wanakuwa na background ya kusoma physics.Mwenzetu wewe udocta wako ni wa heshima au???

Au umejitunuku TITTLE ambayo ulitamani sana kuwa nayo ila ndo vile tena mwenzangu na mie mfumo ulikukataa.

📌Natanguliza shukrani🤝😁
Kuuliza ni katika kujifunza hii ni kwa faida ya wengi
 
HAPANA! Simu haiwezi kulipuka ukitumia karibu na jiko la gesi hivyo endelea kutumia simu yako bila wasiwasi.
Kwa wale wa hesabu niwajulishe tu kuwa, uwezekano wa kulipuka ni kama 0.1% ambapo kwa hesabu ni kama sifuri, hivyo msitishie watu bure!
😂😂😂
 
Binafsi sijawahi kukutana na Theory au research yoyote kwenye Vitabu au kwenye mtandao inayothibitisha kuwa, simu inaweza kulipuka ikitumika kwenye kituo cha mafuta. Kama umewahi kukutana nayo naomba uni Tag....
Mkuu check ChatGPT, Kuna possibility kupitia sparks au cheche za moto kama kutakua na gas leak au concentration kubwa ya gas hewani.
Ni muhimu kujihadhari, hakuna umuhimu wowote wa kutumia simu wakati unatumia gas cooker, ni vyema kuiweka mbali.
 
Yes, kuna Ukweli kuhusu suala hili.
Simu inapokuwa inatumika karibu na chemikali (penye nishati za visukuku zinazoweza kulipuka na kuanzisha moto(inflammables) au gesi inaweza kuwa chanzo au kiini Cha kuanzisha moto. Kumbuka: Simu zote kabisa zinatumia battery ambazo ni good source of heat, sparks and/or open flames.
Lakini wakati unapika jiko limawaka sasa cheche za simu zina madhara gani sehemu ambayo tayari ina moto?
 
Back
Top Bottom