Kutumia vitu vilivyo kwisha muda wake

Kutumia vitu vilivyo kwisha muda wake

Pyepyepye

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2017
Posts
1,940
Reaction score
3,834
Habari wanajamvi

Naomba kuuliza sheria inasemaje ikiwa nitauziwa chakula au kinywaji kilichokwisha muda wake na kuja kugundua nikiwa nishakitumia tayari.
 
Inategemea.
Kama tarehe ya kuisha muda ilikuwepo wewe ukazembea kuangalia inakula kwako.
Kama ulikuwa na uwezo wa kukagua na kugundua kasoro na hukufanya hivyo inakula kwako pia.

Kasoro inapaswa iwe ile ambayo kwa akili za mteja wa kawaida asingeweza kuiona wala kutambua ila mzalishaji pekee.
 
Inategemea.
Kama tarehe ya kuisha muda ilikuwepo wewe ukazembea kuangalia inakula kwako.
Kama ulikuwa na uwezo wa kukagua na kugundua kasoro na hukufanya hivyo inakula kwako pia.

Kasoro inapaswa iwe ile ambayo kwa akili za mteja wa kawaida asingeweza kuiona wala kutambua ila mzalishaji pekee.
Good bro umeniongeza ELIMU
 
Back
Top Bottom