Kutumiwa meseji za maombi ya urafiki

Kutumiwa meseji za maombi ya urafiki

Wapo wengi aisee unakuta ile sms anayokutumia anaifoward tu ukishasave jiandae kuview status either anafanya ujasiriamali flan au wale wazee wa platform gani sijui!

Kuna moja nlikutana nae kwenye group ya event flan kutoka "waja leo waondoka Leo" nlisave aisee manzi kali ila ina mambo mengi Kuna siku anaamka na hzo nguo anaweka status vichupi na nguo kibao, Kuna anaamka na maplatform nikataka nimfanyie high pressing akapost status viewers 700 hv nikaterminate mission
Kmmk ungejikoroga ukutane na kitu kizito
 
Ignore wote
Hii ni Spam mpya na ipo mitandao yote.Watu hao mara nyingi lengo sio Urafiki.Mfano kama ni whatsApp kuna group moja ulijoin ukijoin tu wanatuma auto message to all member inawafikia member wote..Mara nyingi wanataka Usave namba zao ili uone status zako ila wengi wanakua na lengo la kukushawishi ujisajili kwenye Network marketing zao ambazo wanadai/watakwambia wanapiga pesa kupitia Website izo..Na wengi ni Wanaume ila wanatumia character ya kike kwasababu ndio rahisi kushawishi

Chakufanya Ignore kisha piga block kwasababu hata ukiwatukana wao hawajali wanapokea message nyingi sana.

Vilevile ukienda Telegram utawakuta/watakufata inbox Mara nyingi wao watakushawishi ujiunge na crypto site walizojiunga hawa usiwajibu wewe piga Tofali au wapuuzie.

Ukienda X utawakuta,Facebook,IG kila mtandao utawakuta ila wengi lengo ni "refarral compaign" wapate maokoto kupitia wewe utakaejoin

Wengine wauzaji watapost viatu,nguo hawa nao piga Tofali tu
 
Ignore wote
Hii ni Spam mpya na ipo mitandao yote.Watu hao mara nyingi lengo sio Urafiki.Mfano kama ni whatsApp kuna group moja ulijoin ukijoin tu wanatuma auto message to all member inawafikia member wote..Mara nyingi wanataka Usave namba zao ili uone status zako ila wengi wanakua na lengo la kukushawishi ujisajili kwenye Network marketing zao ambazo wanadai/watakwambia wanapiga pesa kupitia Website izo..Na wengi ni Wanaume ila wanatumia character ya kike kwasababu ndio rahisi kushawishi

Chakufanya Ignore kisha piga block kwasababu hata ukiwatukana wao hawajali wanapokea message nyingi sana.

Vilevile ukienda Telegram utawakuta/watakufata inbox Mara nyingi wao watakushawishi ujiunge na crypto site walizojiunga hawa usiwajibu wewe piga Tofali au wapuuzie.

Ukienda X utawakuta,Facebook,IG kila mtandao utawakuta ila wengi lengo ni "refarral compaign" wapate maokoto kupitia wewe utakaejoin

Wengine wauzaji watapost viatu,nguo hawa nao piga Tofali tu
Hao wahuni tu ntawatwanga block
 
Huko
Wapo wengi aisee unakuta ile sms anayokutumia anaifoward tu ukishasave jiandae kuview status either anafanya ujasiriamali flan au wale wazee wa platform gani sijui!

Kuna moja nlikutana nae kwenye group ya event flan kutoka "waja leo waondoka Leo" nlisave aisee manzi kali ila ina mambo mengi Kuna siku anaamka na hzo nguo anaweka status vichupi na nguo kibao, Kuna anaamka na maplatform nikataka nimfanyie high pressing akapost status viewers 700 hv nikaterminate mission
waja leo waondoka leo sio poa
 
Natumaini mu wazima.

Ni takribani week mbili sasa napokea sms katika mtandao wa whatsapp na namba ngeni tofauti tofauti nyingi zikiwa ni za pisi tofauti wakijitambulisha mimi ni flani tuko pamoja kwenye kundi flani naomba usevu namba yangu wakiuliza na wewe nikusevu nani. Kimsingi huwa sisevu namba zao ila naishia kuwapa moyo tu kuwa nishasevu.

Je, kuna yeyote ambaye nae ashapitia hio situation? Kwangu inakuwa kama kero sasa maana hazipiti siku 2 lazma watakuja wawili au watatu tofauti. Hofu yangu isije ikawa mabaharia wameweka picha za mashori kwa ajili ya kuvuna nauli za hapa na pale kama ukishobokea ngozi 🤣
Kuna mmoja alinijia pia. Ni manzi hakusema ametoa namba wapi, nikapiga chini. Wa pili juz kat tu akasema alikotoa namba yangu na mimi nikathibitisha ni kwel tuko wote katika group flan la wauza story wa jamii forum bwana singanojr . Nikasema okay uko wapi, alipojichanganya akasema Mafinga!.

Sasa kutokana na harakat zangi , Mafinga ni moja ya maeneo nayajua nje ndani nikampiga sana maswali na karika maoongez nikaanza kumtajia mpaka chocho za Mafinga na nikamwambia nitakutimbia after simetime nikitia mgui mafinga..

Mmhhh akaona huyu sioo 😂😂😂 , kama mipango ya kuniingiza mjini akaona kama haitakua rahis bile, akawasha gari akateleza!! Mbioool 😆😆😆
 
Hao kila siku napata wawili au watatu, wanatuma ujumbe hao hawachoki mpaka wengine nimeblock.

Kwa wale wafanya biashara za mtandao ni vyema kufanya matangazo bila kuwa kero kwa wengine.
Hivi ushawahi kufikiria kutafta watu toka kwenye LinkedIn. Like connecting and hookups ila na aina ile ya wanawake the corporate ladies.
 
Kuna mmoja alinijia pia. Ni manzi hakusema ametoa namba wapi, nikapiga chini. Wa pili juz kat tu akasema alikotoa namba yangu na mimi nikathibitisha ni kwel tuko wote katika group flan la wauza story wa jamii forum bwana singanojr . Nikasema okay uko wapi, alipojichanganya akasema Mafinga!.

Sasa kutokana na harakat zangi , Mafinga ni moja ya maeneo nayajua nje ndani nikampiga sana maswali na karika maoongez nikaanza kumtajia mpaka chocho za Mafinga na nikamwambia nitakutimbia after simetime nikitia mgui mafinga..

Mmhhh akaona huyu sioo 😂😂😂 , kama mipango ya kuniingiza mjini akaona kama haitakua rahis bile, akawasha gari akateleza!! Mbioool 😆😆😆
Tapeli huyo, mi mtu akisema yuko nje ya Dar sihangaiki nae.
 
Back
Top Bottom