Tetesi: kutunguliwa toka juu , haijawahi kuwaacha salama walinzi wa rais wa marekani.

Tetesi: kutunguliwa toka juu , haijawahi kuwaacha salama walinzi wa rais wa marekani.

Michael Chairman

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
922
Reaction score
586
Mwaka 1963 mwezi November wamarekani walimpoteza Rais wao wa 35 John F. Kennedy , Tukio ambalo kwa hakika hakuna ayelifurahia kutokana namna ambavyo mauaji hayo yalivyotokea, inasemekana Rais John F. Kennedy aliuawa na mdunguaji aliyekuwa kwenye moja ya jengo la ghorofa , wakati RaisJohn F. Kennedy akiwa kwenye msafara kwenda kwenye moja ya jimbo ambalo lilikuwa alitembelee kwa malengo ya kisiasa na kiutendaji kama Rais wa nchi.
Tukio hilo la mwaka 1963 , leo najaribu kulifananisha na shughuli ya walinzi wa Rais wa marekani wa sasa ndugu Donald Trump akiwasili nchini ujerumani kuhudhulia mkutano wa mataifa ishirini yenye nguvu za kiuchumi duniani unatakaofanyika kwenye jiji la hamburg , kuwa tukio lile linawafanya walinzi kuwa makini sana na kutizama ulinzi wa anga na kwa kila sekunde utaona mlinzi akingalia juu . Hongereni sana walinzi wa Rais wa marekani kwa kutokutaka kusahau makovu ya mwaka 1963.
Jionee na wewe rafiki hapa....
 
acha kujidanganya wewe shambulio la anga kulikwepa ni ngumu hacking yake ianzie mita nyingi nyuma ndo ujue unalikwepaje sasa we kaa unaangalia anga hlf lenyewe(bomu au risasi) ina speed ya mita 500 kwa 1 second hapo ndipo utakapojua umechelewa
 
Mwaka 1963 mwezi November wamarekani walimpoteza Rais wao wa 35 John F. Kennedy , Tukio ambalo kwa hakika hakuna ayelifurahia kutokana namna ambavyo mauaji hayo yalivyotokea, inasemekana Rais John F. Kennedy aliuawa na mdunguaji aliyekuwa kwenye moja ya jengo la ghorofa , wakati RaisJohn F. Kennedy akiwa kwenye msafara kwenda kwenye moja ya jimbo ambalo lilikuwa alitembelee kwa malengo ya kisiasa na kiutendaji kama Rais wa nchi.
Tukio hilo la mwaka 1963 , leo najaribu kulifananisha na shughuli ya walinzi wa Rais wa marekani wa sasa ndugu Donald Trump akiwasili nchini ujerumani kuhudhulia mkutano wa mataifa ishirini yenye nguvu za kiuchumi duniani unatakaofanyika kwenye jiji la hamburg , kuwa tukio lile linawafanya walinzi kuwa makini sana na kutizama ulinzi wa anga na kwa kila sekunde utaona mlinzi akingalia juu . Hongereni sana walinzi wa Rais wa marekani kwa kutokutaka kusahau makovu ya mwaka 1963.
Jionee na wewe rafiki hapa....

SIJAKUELEWA VIZURI, KWANI KAZI YA WALINZI NI IPI?
 
kuna vitu ukitaka kuviokoa ama kuviweka sawa ni lzm uzuie process yake kwanza i mean kikiwa ktk harakati kbl ya kufanya tendo husika.. ukisema bomu unariditect mita kadhaa kutoka eneo linalotaka kulipua asilimia 99% utakuwa umechelewa.. lkn ukiweza kugundua kwamba sasa ndo limepigwa mpk kufika hapa litachukua sekunde hata 5 there you can do something.

kwa matukio ya udunguaji ni vyema walinzi kuweka eneo zima clear,namaanisha wawe kabla ya wadunguaji maana kuwahi kwa mdunguaji ndio asilimia kuongezeka kudunguliwa kwa mdunguliwaji! maana tukio linaweza kufanyika ndani ya sekunde 59.. sasa nyie mnatakiwa huo muda muwe mmeutangulia hata kama haujafika! ndio maana hawa jamaa hufundishwa kumgundua mtu anaetaka kufanya tukio au wanaemuhisia hapo ndo huita jicho la 3!

hata teknolojia zinazoditect mabomu/kitu cha hatari naomba waziite third eye.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom