Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Salam wakuu.
Nimewaza sana kwanini viwanda vya pombe Kali (Distilled spirits) kama konyagi, kvant, vodka, dompo, wana design chupa nzuri sana tena zenye mionekano bomba.
Lakini cha kushangaza chupa hizo baada ya matumizi hutelekezwa na kuwa kero kwa uchafuzi wa mazingira yetu.
Sasa sijui kwanini viwanda hivi visije na utaratibu wa kurudisha ganda mara baada ya wateja wao kununua vinywaji hiyo ambao kwanza utapunguza gharama za kufyatua mavyupa mengine (returnable) na kutumia maganda hayohayo.
Pili probably hata bei itapungua? Mathalani chupa ya kvant kubwa ni roughly ni elfu kumi.je utaratibu ukiwa wa kurejesha ganda si bei itashuka? Mbona soda tunarudisha maganda kwanini ishindikane kwenye vinywaji vingine.
Binafsi nina kibanda changu huwa nauza vinywaji hivyo sasa kinachoniboa nina chupa takribani bajaji nne, sijui pa kuzipeleka wanunuzi hamna.
Viwanda havinunui, Watu hawanunui, sasa mavyupa haya yamegeuka kero na kibaya zaidi huwezi kuyachoma maana hayaungui moto.
Wito wangu kwa serikali ivilazimishe viwanda husika wawe wananunua chupa zao hata kwa kupima kwa uzito.
Nimewaza sana kwanini viwanda vya pombe Kali (Distilled spirits) kama konyagi, kvant, vodka, dompo, wana design chupa nzuri sana tena zenye mionekano bomba.
Lakini cha kushangaza chupa hizo baada ya matumizi hutelekezwa na kuwa kero kwa uchafuzi wa mazingira yetu.
Sasa sijui kwanini viwanda hivi visije na utaratibu wa kurudisha ganda mara baada ya wateja wao kununua vinywaji hiyo ambao kwanza utapunguza gharama za kufyatua mavyupa mengine (returnable) na kutumia maganda hayohayo.
Pili probably hata bei itapungua? Mathalani chupa ya kvant kubwa ni roughly ni elfu kumi.je utaratibu ukiwa wa kurejesha ganda si bei itashuka? Mbona soda tunarudisha maganda kwanini ishindikane kwenye vinywaji vingine.
Binafsi nina kibanda changu huwa nauza vinywaji hivyo sasa kinachoniboa nina chupa takribani bajaji nne, sijui pa kuzipeleka wanunuzi hamna.
Viwanda havinunui, Watu hawanunui, sasa mavyupa haya yamegeuka kero na kibaya zaidi huwezi kuyachoma maana hayaungui moto.
Wito wangu kwa serikali ivilazimishe viwanda husika wawe wananunua chupa zao hata kwa kupima kwa uzito.