Kutunza memories mlizoshare

Kutunza memories mlizoshare

Ethan Cruz

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2021
Posts
231
Reaction score
331
Leo naja na huu uzi kwa gender zote but especialy wadada

Kuna watu wanatunza meseji nyie,balaa..Hata Makumbusho ya taifa pale Posta haiko deep kama wao.....Anatunza meseji za tangu unamtongoza mpaka mmeachana...khaa!nimewavulia kofia..Especially wanawake,ur best at this...nooomaaa!

Sasa mmeachana,unatunza zile meseji,unalialia chumbani,unafungua Archive Folder..unasoma Malavidavi ya zile siku zenu mlizokuwa Paradiso ya Mahaba...unalia weeee kama kengele ya Ibada...FOR WHAT?

Kama umekubali aondoke moyoni mwako,ondoa vitu vyote ambavyo ni temptations za kukuremind kuhusu yeye ili usije ukarudisha kivuli cha mtu moyoni....Wanawake ur so weak katika hili,mioyo yenu hugeuka Piriton hapa,mnanyong'onyea weeee,yaani mnahisi kama dunia imekuangukia...I cant live without Felix...Nani kasema wewe,Pumzi unayo,Moyo unao, Macho unayo mawili yanaona,Tafuta Replacement acha uboya! Huyo Felix akigundua unamlilia,miezi 7 baada ya kuachana anajionaje Mfalme...Anajionaje King wako,anaona YESSSS,demu analia mpaka leo kwa ajili yangu...Atakutesa,atakuburuza-buruza hisia zako kama Guta la Soko la Buguruni....Umeumbwa na moyo mzuri lakini atauburuza It will look like Shit....

Destroy Picha zote zinazokupa Nightmares....Album zake za nini???Gallery kwenye Simu weka mbali kule choma ikibidi kama zinakupa matatizo....Hakikisha kila kinachomuhusu kipo kwenye Recycle Bin na delete completely kusiwe na room ya ku-retrieve data!

Ukifanya hivi utaona jinsi anavyopotea taratibu,na baada ya muda itakuwa Historia.....Sasa wewe kumbatia weeeeee mapicha yake...Soma weeee mameseji aliyokuwa anakutumia na kuchat naye...Halafu unajiuliza,Hivi why I cant forget him????Ni sawa na kula halafu unauliza mbona tumbo limejaa...Tumia akili,Ni Maamuzi magumu lakini kama unaujali moyo wako ni lazima uyafanye or else kuwa mtumwa wa mtu asiye-exist kwenye maisha yako!

Lingine,Epuka kwenda sehemu ambazo wewe na EX wako mlikuwa mnaenda sana...Kama mlipenda kwenda KIJIJI Beach kama ndugu yangu chuse hans,ukienda pale mwenyewe unajitafutia shida...Utaanza kukumbuka mliogelea wapi...mlikaa kiti gani na kadhalika....Potea kutoka kwenye hizo Memory Zone kwa muda mpaka utakapokuwa Sure kwamba hazikusumbui anymore!

kiruuuuuuuuuuuuuu
 
Soma haya mashairi kwanza, Wimbo inaitwa WHISKEY LULLABY

She put him out like the burnin' end of a midnight cigarette
She broke his heart, he spent his whole life tryin' to forget
We watched him drink his pain away a little at a time
But he never could get drunk enough to get her off his mind
Until the night
He put that bottle to his head and pulled the trigger
And finally drank away her memory
Life is short, but this time it was bigger
Than the strength he had to get up off his knees
We found him with his face down in the pillow
With a note that said, "I'll love her till I die"
And when we buried him beneath the willow
The angels sang a whiskey lullaby
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
The rumors flew but nobody knew how much she blamed herself
For years and years she tried to hide the whiskey on her breath
She finally drank her pain away a little at a time
But she never could get drunk enough to get him off her mind
Until the night
She put that bottle to her head and pulled the trigger
And finally drank away his memory
Life is short, but this time it was bigger
Than the strength she had to get up off her knees
We found her with her face down in the pillow
Clinging to his picture for dear life
We laid her next to him beneath the willow
While the angels sang a whiskey lullaby
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
La, la, la, la, la, la, la
 
Kwa Leo malizia na huu wa Mzee Dube
Release Me

You don' t have to come with me
Down this road
'Cause I know my way around here
Very well
It may not seem like it
From where you stand
But believe you me, I know what
I' m talking about
Letting it all go
Didn' t matter to me
'Cause I' ve done it all before
But when you left
Part of me left with you
That is why I call you now
On this phone
So please, oh please
Don' t hang up on me
Release me let me go
But remember that
Some bridges never burn
You took your way
And I took mine
We were sure our ways
Will never meet again
Everytime I go out
With another man
I find myself calling your name
Now I know that it' s true
What they say
Sometimes love
Never knows when to die
When you went
Part of me went with you
That' s why I called you on the phone
Release me let me go
Remember that
Some bridges never burn
Release me let me go
Remember that
Some bridges never burn
Oh-ho-oh-ho... ho
Oh-ho-oh-ho... ho
Release me let me go
Remember that
Some bridges never burn
 
All in All kubali uyo mwanamke bado anampenda felix na wewe hupendwiii...
 
Back
Top Bottom