W Wakanda2021 Member Joined Apr 27, 2013 Posts 70 Reaction score 8 Oct 26, 2013 #1 Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila cku. Njia gani mwanaume anaweza tumia kuua mbegu asiweze kumpa mwanamke mimba? km wazuiavyo w'ke,je kwa m'me nayo inawezekana? Madr fungukeni mnisaidie kufahamu hili.
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila cku. Njia gani mwanaume anaweza tumia kuua mbegu asiweze kumpa mwanamke mimba? km wazuiavyo w'ke,je kwa m'me nayo inawezekana? Madr fungukeni mnisaidie kufahamu hili.