Wakanda2021
Member
- Apr 27, 2013
- 70
- 8
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila cku.
Njia gani mwanaume anaweza tumia kuua mbegu asiweze kumpa mwanamke mimba? km wazuiavyo w'ke,je kwa m'me nayo inawezekana?
Madr fungukeni mnisaidie kufahamu hili.
Njia gani mwanaume anaweza tumia kuua mbegu asiweze kumpa mwanamke mimba? km wazuiavyo w'ke,je kwa m'me nayo inawezekana?
Madr fungukeni mnisaidie kufahamu hili.