Kuuawa kwa Ali Kibao: Polisi watakuja na sababu za akina Dr. Ulimboka, Prof. Juan na wengine?

Kuuawa kwa Ali Kibao: Polisi watakuja na sababu za akina Dr. Ulimboka, Prof. Juan na wengine?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Alipouwawa Professor Jwani Mwaikusa (sidhani kama nimepatia jina) na aliposhambuliwa Dr Ulimboka, na alipotekwa Mo Dewji, Jeshi la Polisi lilikuja mbele ya media na "Wahalifu" ambao sijui Hadi Leo waliishia wapi.

Nawasihi Sana, tusiendelee kuchezea uhai wa watu, Kuna Leo kuna Kesho, madaraka na vyeo vitapita ila uhai wa MTU ni wa thamani.
Sisi sote ni Ndugu, tupendane, Polisi watajeni hawa Watu.

Ni Rahisi sana kuwamata kama KWELI tunayo Nia ya dhati. Meanwhile, niwaombe Wafuasi WA CCM, acheni kejeli kwenye janga hili, wakitumaliza watageukia....hamko salama.

Soma Pia: Timu ya uchunguzi wa Makosa makubwa kutoka ofisi ya DCI yatumwa kuchunguza Mauaji ya Ally Mohamed Kibao wa CHADEMA
 
Alipouwawa Professor Juan Mwaikusa (sidhani kama nimepatia jina) na aliposhambuliwa Dr Ulimboka, na alipotekwa Mo Dewji, Jeshi la Polisi lilikuja mbele ya media na "Wahalifu" ambao sijui Hadi Leo waliishia wapi.

Nawasihi Sana, tusiendelee kuchezea uhai wa watu, Kuna Leo kuna Kesho, madaraka na vyeo vitapita ila uhai wa MTU ni wa thamani.
Sisi sote ni Ndugu, tupendane, Polisi watajeni hawa Watu.

Ni Rahisi sana kuwamata kama KWELI tunayo Nia ya dhati. Meanwhile, niwaombe Wafuasi WA CCM, acheni kejeli kwenye janga hili, wakitumaliza watageukia....hamko salama.
*Watageukiana
 
Mimi nimeumia sana huyo Mzee kuuawa kwa umri wake sio wa kufa kifo cha kikatili namna hiyo wakati mtu sio katili Mungu anisamee kwa kweli.
 
Ni ukatili uliopitiliza. Mungu tunakusihi utunusuru kwa hatua zozote.
 
Back
Top Bottom