Kuuawa kwa Wanajeshi wetu wawili Congo. Je, kuna haja ya TISS na JWTZ kuiga utendaji wa MOSSAD na Jeshi la Israel?

waache kumlipa Mond 300m kukatika mauno kwenye kampeni , waje waige Mossad , hv hujui kipaumbele cha ccmu ?
 
Ndio maana niliwahi kuandika humu kuwa katika kipindi hiki nchi yetu is very vulnerable kwasababu majority ya wananchi hawana Imani na Samia na serikali yake!! Wananchi are not sympathetic na what happened; may be a few ccm CHAWA!
 
TISS waache wahangaike na rasilimali watu,uchumi na huduma za jamii.
JWTZ wanacho kitengo chao kinafanyakazi vyema kabisa. kitengo cha usalama cha JWTZ kinaweza tu kuwaelekeza TISS kama kuna cha kufanya/kufuatilia.
 
Hawa mossad na idf wanaopigana na watu wasiokuwa na silaha na kushindwa kuokoa mateka zaidi ya miaka kwenye kieneo sawa na kijiji ndio tuwaige?
Watu wengi hamjui sheria na kazi ya jeshi la kulinda amani, mnadhani wameenda kupigana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…