hawa wazee kamba tu! Kama wale wazee wa Kihehe, walivyoipiga mkwara serikali na kuipa wiki mbili kuelezea kifo cha Balali, na kusema la sivyo "wataporomosha" wale wote waliohusika na kifo cha Balali!! wako wapi sasa!!
Wazee walikuwa zamani kwani walikuwa wanasema na kutekeleza, na hata Nyerere aliwajua ("tambuka" kwa Mzee Tambaza!)