Mutiple Choice katika level ya University ni level ya chini wa kumtest mwanafunzi jamani je lecturers wanashindwa kutunga maswali ya Essay etc na si MCQ?
sasa unataka nikubaliane na wewe kinguvu bila facts
next time ukipinga hoja una weka hoja mbadala
MCQ ni sahihi kwa elimu ya chuo
una sema eti watu wana guess reallly??
Out of 5 choices kwa kila swali out of 50 uta guess ngap??
USA mfumo wao wa elimu ni multiple choice na kama hujasoma na kuelewa huwezi faulu!
Multiple choice ni ngumu kuliko kujieleza!
inapima usahihi wa kuelewa au inapima usahihi wa ku choose?ungesema inapima usahihi wa ku guess ungeeleweka.
Usahihi wa kuelewa ni ule wa kumpa karati nyeupe na kalamu baada ya muda unakuja kuchukua karatasi yenye substance...hii format ni shule ya msingi...soorry kwa woote tuliopitia apa maana najua lazima tutetee uozo wetu...
inapima usahihi wa kuelewa au inapima usahihi wa ku choose?ungesema inapima usahihi wa ku guess ungeeleweka.
Usahihi wa kuelewa ni ule wa kumpa karati nyeupe na kalamu baada ya muda unakuja kuchukua karatasi yenye substance...hii format ni shule ya msingi...soorry kwa woote tuliopitia apa maana najua lazima tutetee uozo wetu...
Kwel wote ni vilaza . Multiple choice ukitungiwa hapa udsm ni bora essay kuliko hivyo wewe! Kati ya 15 unapata mbili au tano juzi kat kuna paper la history kuna had 0 . Wewe nahisi haujui
Wewe labda chuo kingine udsm haupat yote ukipata yote .mie najiuzulu kuwa jamii fr. Fact ni kwamba inategemea na type ya lecture na chuo gan ? Sio kama maswal ya sekondar chuo majibu yote ya kwel lakn la kweli zaid linakuwa lip
watu ni vigeugeu sana.Juzijuzi nyie wenyewe mlikua mnamlaumu na kumponda mama Ndalichako na NECTA kwamba kwa nini anawapa wanafunzi maswali ya MULTIPLE CHOICE leo kwa kua pepa ya aina hiyo wamepewa UDSM mnatetea! Tena sababu za kutetea ni zilezile walizokuwa wakitoa Necta. Ha huu unafki huu!
Ooh basi karibu watu wote waliosoma vyuo vikuu Marekani elimu yao ni ya magumashi maana format ya mitihani huko huwa ni ya multiple choice.
Mimi nakumbuka tukiwa first year tuliwahi pewa pepa la multiple choice tupu yan watu walipiga zero kama maigizo vile..
MCQ inanoga pale panapokuwa na negative marking ukikosea. Ukiotea ukakosa -1, ukiacha bila kujibu 0. Lazima ukune kichwa.