Kuuliza Multiple Choice Question katika University Exams: Tunapima nini?

Kuuliza Multiple Choice Question katika University Exams: Tunapima nini?

Kama weni kibutu was kisoma subiri kudisco jamani endeleeni na moyo huohuo kama anataka hivyo ajenge chuo chake.
 
Umesoma kozi gani Chuo Kikuu? Laiti kama ungesoma na kuelewa kwa ufasaha kozi za Ualimu hata Psychology usinge undermine the power of MCQs. Hasa ukute imesukwa na Mwl, Mwalimu, sio vile vibitoz vilivyo anza stnd one mpaka Univst kwa kuunganisha kufacilitate vaste!
 
Wadau salam! nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya mltiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1 so mtu akipata maswali yotehatkwa ku-guesstu ana marks20 tyri kat 60 anaztakiwa kupata katika University Exam (UE) swali langu ni kwamba wa level ya University tena Mwaka wa 3 anayepewa multiple choice kweli tunaanda wataalamu wa aina gani?
Ningeshauri vyuo vikuu vibadili mtindo huu wa kutunga maswali (Multiple Choice) maana unavutia (encourage)guessing bila kufikirisha akili ya mwanafunzi. Najua hapa watakuja watu kuutetea ooh idadi ya anafunzi wamekuwa wengi ndo maana lecturers wanatunga multiple choe questions ili iwe rahisi kusahihisha but sababu hiyo tu haitoshi kuharibu wanachuo hawa ambao baada ya kualiz hapo anaenda kupambanana wasomi wa Kenya, Uganda, Afrika Kusini & dunia nzima
Nchi imebaki ya kila mtu mpiga mzinga!! Malecturers hawataki kusahihisha Booklet nyingi (mf wanafuzi 800 hadi 1500 kwa darasa 1, * 4 or 5 Qns=3200/6000 or 4000/7500 Qns). Hli ni somo moja 1 tu, je akiwa na madarasa 2? Sasa vyuo vya Governement kama UDOM na UDSM Multiple choice zimekuwa common kwa kigezo hiki na si visingizio vingine.
 
Usilete mchezo na maswali ya MC yani ni bora essy Qn unaweza pata hata difinitn
 
mkuu uwa nafurahi tunapojilinganisha na marekani, huwa nafurahi sana kwa kuwa mazingira, hali ya technolojia, uchumi na elimu na walimu viko sawa kabisa, inawezekana kuna kitu uwa tunalingana!

Huyo jamaa kaponda mitihani ya multiple choice na kudai kwamba haizalishi wasomi wa uweli. Ndo kilichonipelekea mimi kusema kuwa kama ni hivyo basi watu waliosomea Marekani wengi wao ni magumashi maana huko vyuo vikuu vingi sana hutumia hiyo format kwenye mitihani.

Na Marekani nadhani ni nchi inayopokea na kuelimisha international students wengi zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile iliyoendelea. Kuna Watanzania wengi tu waliosomea na wanaosomea Marekani.

Kwa hiyo nilichofanya wala si kulinganisha. Nilichofanya ni kutoa mfano unaodhoofisha zaidi hoja (ambayo tayari ilikuwa hafifu) ya jamaa.

Au na wewe ni mwenye mtazamo kama wake?
 
kwa maana iyo,sio woote waliopiga zero ni mburula , apo inadhiirisha kuwa kweli MCQ ni za kitoto, hazipimi uelewa zinapima kukariri na kipaji cha kubuni...kuna siku profesa mmoja pale udsm alituchekesha sana, anasema ukitaka professor afeli mtihani umpe majibu matatu ili achague moja, ataishia kutoa strengh na weakness ya kila jibu na ivo kuishia kutochagua jibu kama alivoambiwa,...apa nakumbuka mfano professor akiambiwa kipi kilianza kuku au yai, apa yeye atataka afanye mpaka risechi wakati mtoto wa darasa la sita ataweka jibu moja kati ya au kuku au yai.

Ahaaa sasa nimeelewa kwa nini hata hukuelewa nilichoandika na kukimbilia kuhitimisha kuwa nimelinganisha Marekani na Tanzania ilhali nilichofanya kiko mbali sana na ulinganishaji.

Case closed!!!
 
Usilete mchezo na maswali ya MC yani ni bora essy Qn unaweza pata hata difinitn
umeshawahi pewa multiple CHOICE NA UKAPATA NEGATIVE?YAANI UKIPATA MOJA UNAWEKEWA MBILI ,UKIKOSA UNAKOSA MBILI NA UNADAIWA MOJA,HAHA
 
.......Mtihani wa multiple choice siyo mrahisi kama mnavyofikilia.

Mimi nimefanya sana mitihani ya hivi, inachanganya sana. Kwa nchi kama USA
hadi mitihani ya bodi utakuta multiple choice, ila kimbembe chake usiseme.
 
Wadau salam! nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya mltiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1 so mtu akipata maswali yotehatkwa ku-guesstu ana marks20 tyri kat 60 anaztakiwa kupata katika University Exam (UE) swali langu ni kwamba wa level ya University tena Mwaka wa 3 anayepewa multiple choice kweli tunaanda wataalamu wa aina gani?
Ningeshauri vyuo vikuu vibadili mtindo huu wa kutunga maswali (Multiple Choice) maana unavutia (encourage)guessing bila kufikirisha akili ya mwanafunzi. Najua hapa watakuja watu kuutetea ooh idadi ya anafunzi wamekuwa wengi ndo maana lecturers wanatunga multiple choe questions ili iwe rahisi kusahihisha but sababu hiyo tu haitoshi kuharibu wanachuo hawa ambao baada ya kualiz hapo anaenda kupambanana wasomi wa Kenya, Uganda, Afrika Kusini & dunia nzima
lengo ni kujua kama mwanafunzi anafahamu na kutambua maana ya jibu sahihi.
 
mkuu Mi nadhani ingekuwa poa km ungeuliza logic behind ya kuweka maswali multiple choice na c kuanza kuyakandia huku ukionyesha huna utaalam nayo (huonekani km mwalim) so ingependeza zaidi
 
Wadau salam! nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya mltiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1 so mtu akipata maswali yotehatkwa ku-guesstu ana marks20 tyri kat 60 anaztakiwa kupata katika University Exam (UE) swali langu ni kwamba wa level ya University tena Mwaka wa 3 anayepewa multiple choice kweli tunaanda wataalamu wa aina gani?
Ningeshauri vyuo vikuu vibadili mtindo huu wa kutunga maswali (Multiple Choice) maana unavutia (encourage)guessing bila kufikirisha akili ya mwanafunzi. Najua hapa watakuja watu kuutetea ooh idadi ya anafunzi wamekuwa wengi ndo maana lecturers wanatunga multiple choe questions ili iwe rahisi kusahihisha but sababu hiyo tu haitoshi kuharibu wanachuo hawa ambao baada ya kualiz hapo anaenda kupambanana wasomi wa Kenya, Uganda, Afrika Kusini & dunia nzima
Usikurupuke.. Wanafunzi wanafanya research presentation,course work etc.
but jiulize wewe ukipewa huu mtihani utapata mia?
 
MCQ za primary na za sekondari na za chuo kikuu ni zile zile tu , choose A.B .C D , mtu wa Havard university akiandika C na wa shule ya msingi Tandaimba akiandika C woote wanawekewa vema kama swali lilikuwa najibu C. Haijalishi anajua context ya iyo C ni nini, kwa hiyo hata mtoto wa Tandahimba anaweza akakaa mezani na mtu wa chuo kikuu na wote wakawa busy wanachagua majibu ila mtu akipewa kutengeneza Iodine solution pale Muhimbili university na mtoto wa Tandahimba akazamia humo ,sana sana atabaki kutengeneza sumu au bomu kwa kuchanganya kemikali ovyo ovyo...Hizi MCQ ni za kitoto!

Nazidi kuamini kwamba hujawahi kukutana na the really MCQs. Sina sababu ya kuendelea kutoa hoja. Yaani unafananisha MCQs za chuo na primary!?
 
umeshawahi pewa multiple CHOICE NA UKAPATA NEGATIVE?YAANI UKIPATA MOJA UNAWEKEWA MBILI ,UKIKOSA UNAKOSA MBILI NA UNADAIWA MOJA,HAHA
IFM kuna mtu anaitwa Erick Mwambuli, usiombe kabisa akawatungia MC mtalia. kwanza ngoma ina A-E. af maswali anatoa ya Int.Finance ni nondo balaaa. Dah kumaliza chuo ni kumshukuru Mungu sana!
 
MCQ yanahitaji uweze fikikiria sana na ina discourage kukariri

tofauti na short answers au essay qns ambazo wanafunzi wana shusha notes kama zilivo kwenye handout

mcq
match item
short answer
essay qns
bado ni format nzuri tu kwa elimu yetu

Ni nzuri kwa level ya chuo kikuu kweli mkuu kidole007? Are you serious or just joking? Una-encourage guess work katika chuo kikuu? Sijakuelewa hakika!!!!
 
Wadau salam! nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya mltiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1 so mtu akipata maswali yotehatkwa ku-guesstu ana marks20 tyri kat 60 anaztakiwa kupata katika University Exam (UE) swali langu ni kwamba wa level ya University tena Mwaka wa 3 anayepewa multiple choice kweli tunaanda wataalamu wa aina gani?
Ningeshauri vyuo vikuu vibadili mtindo huu wa kutunga maswali (Multiple Choice) maana unavutia (encourage)guessing bila kufikirisha akili ya mwanafunzi. Najua hapa watakuja watu kuutetea ooh idadi ya anafunzi wamekuwa wengi ndo maana lecturers wanatunga multiple choe questions ili iwe rahisi kusahihisha but sababu hiyo tu haitoshi kuharibu wanachuo hawa ambao baada ya kualiz hapo anaenda kupambanana wasomi wa Kenya, Uganda, Afrika Kusini & dunia nzima

Tatizo ni kwamba hata wahadhiri wa siku hizi nao wengi wao ni makanjanja--hawana kitu mukichwa! Udhaifu wao wanauficha kwenye maswali ya mcq. Msishangae wahitimu wengi wa chuo kikuu kutoweza kuongea au kuandika kiingereza kwani hata walimu (wahadhiri) wao nao kiingereza kinawapiga chenga!! Juzi kati nilikutana na mwanasheria aliyehitimu hivi karibuni na kupata kazi kwenye shirika moja la umma (serikali) nikashangaa ilikuwaje akapata ile kazi na amepenyaje huko chuoni hadi akahitimu bila kukamatwa (ku-disco)---yaani ni mweupe kabisa--masuala madogo tu ya kisheria eti anamuuliza sekratari wake anamsaidia kwa kutumia uzoefu utu--ijapokuwa sekrtari wake sio lawyer. Kituko ni pale atakapoandika hoja ya kisheria kwa kiingereza--utatamani ulie--perfect tense anaweka future tense, present anaweka past perfect--nilishangaa sana, mpaka sikutamani tena kwenda kumuona anisaidie issue ya kisheria--ni afadhali niisimamie mimi mwenyewe--sasa kama kila kitu anamuuliza sektretari kuna umuhimu gani wa kumtegemea kanjanja kama huyu?

Huu ni mfano mmojawapo wa product ya maswali ya multiple choice yanayotolewa huko vyuoni. Nawashangaa sana watu mnaoshobokea mfumo huu huku mkijua fika kwamba unachangia 'kutotoa' wahitimu wasiokuwa na viwango vya kuridhisha na ambao uelewa wao ni mdogo kuliko mbegu ya hardali! Elimu yetu imechakachulika kutoka level ya chini--naona kansa hii inazidi kutafuna hadi kwenye level ya juu kabisa. Tumekwisha ndugu zangu!
 
Kwel wote ni vilaza . Multiple choice ukitungiwa hapa udsm ni bora essay kuliko hivyo wewe! Kati ya 15 unapata mbili au tano juzi kat kuna paper la history kuna had 0 . Wewe nahisi haujui

Tuwekee hiyo paper tuione sio unasema tu bila ushahidi. Iweke hapa sasa hivi tuone inavyofanana sio kila siku mnatetea ujinga tu nyie magamba!
 
Umeelezea vema ndugu, kwa kuongezea, maswali ya aina hii yana kanuni zake za kuyatunga, kanuzi zikifuatwa maswali haya huwa ni magum ajabu, pia maswali ya aina hii hugusa karibia kila sehem ya somo husika hivyo mwanafunzi anajaribiwa kwa upana sana kuliko ungetumia essay ambazo hugusa sehem ndogo tu ya somo.

Tatizo la maswali haya ni kwamba kuna wanafunzi tunawaita "test wise students" hawa kiukweli ni wataalam wa kuotea kwa hiyo mwanafunzi anaweza akafaulu bila hata kujua alicho jibu ni sawa au si sawa. Hili ni tatizo kubwa lakini ni mfumo mzuri maana anaejibu maswali haya lazima awe ameelewa somo na sio kukariri.

Kitu kingine, ulie leta maada, kama unatetea ubora wa elim, past papers unazikomalia za nn, hembu ziache na fanya mtihani tuone ubora wako.

Mkumbuke kwamba huu mfumo wa maswali ya bahati nasibu ndio uliowapeleka sekondari wanafunzi zaidi ya 5,000 waliohitimu shule za msingi mwaka 2012 huku wakiwa hawajui kusoma wala kuandika--wanachojua tu ni kuandika A, B, C na D!!!! Kwa hiyo, ni kweli kwamba maswali ya aina hii huchangia kudumaza akili na kuazalisha vilaza zaidi kuliko wasomi. Asiyekubali akatae lakini ukweli utabaki hivyo hivyo!
 
Ushauri: Mtu akishakunywa viroba vyake viwili vitatu hebu atulie kwanza kama nusu saa hivi afu aje apost hapa jf, huyu anafikiri hiyo ni format ya ud tuu, masters na phd huwa wanakuwa assessed hivyo hivyo tena nchi karibia zote, punguza pombe mkuu na urudi shule ukapige masters
 
IFM kuna mtu anaitwa Erick Mwambuli, usiombe kabisa akawatungia MC mtalia. kwanza ngoma ina A-E. af maswali anatoa ya Int.Finance ni nondo balaaa. Dah kumaliza chuo ni kumshukuru Mungu sana!

Kuna mwingine UDSM anaitwa Dr.Fransis. Ndio style yake. Balaa!
 
Back
Top Bottom