mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika ni busara kwa Viongozi kuwa na busara ya kuwasikiliza walio chini yao.
Klabu ya Simba ina kabiliwa na Mashindano makubwa barani Afrika.
Mashindano hayo yanahitaji Wachezaji wenye uwezo na uzoefu mkubwa .Kutokana na hali hiyo baadhi ya wapenda soka tulitoa ushauri kwa viongozi wa Klabu ya Simba kutopeleka Timu ya kwanza huko Zanzibar kwenye mashindano ya Mapinduzi Cup badala yake wapeleke kikosi cha Pili.
Sababu za kuwafanya hivyo ni kuwalinda Wachezaji wa kikosi cha kwanza wasiumie lakini Viongozi hao wamepuuza ushauri huo na kupeleka timu na matokeo yake yameanza kuonekana kwa Mchezaji Erasto Nyoni kuumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Klabu ya Simba ina kabiliwa na Mashindano makubwa barani Afrika.
Mashindano hayo yanahitaji Wachezaji wenye uwezo na uzoefu mkubwa .Kutokana na hali hiyo baadhi ya wapenda soka tulitoa ushauri kwa viongozi wa Klabu ya Simba kutopeleka Timu ya kwanza huko Zanzibar kwenye mashindano ya Mapinduzi Cup badala yake wapeleke kikosi cha Pili.
Sababu za kuwafanya hivyo ni kuwalinda Wachezaji wa kikosi cha kwanza wasiumie lakini Viongozi hao wamepuuza ushauri huo na kupeleka timu na matokeo yake yameanza kuonekana kwa Mchezaji Erasto Nyoni kuumia.
Sent using Jamii Forums mobile app