Kuumia kwa Mohammed Salah kuna la kujifunza!

Acha story zako, yule Mo Salah anafanya mambo mema kwa watu maskini kuliko unavyodhani wewe. mtu ukiwa safarini unaruhusiwa kufungua na kulipa baadae. Mo Salah alikuwa safari nchi ya kigeni.
 
Kwani Benzima na zidane wa madrid wenyewe walifunga......au allah kamuona Mo sala peke yake, anyway kuna la kujifunza katika hilo unavo panga na allah anapanga.....ndomaana kila jambo tunatanguliza inishaallah.......
Ahsante kwa neno zuri.
 
Mo Salah alikuwa Ukraine Siku Tatu kabla,,, by the way ,,
Sema INSHAALLAH TUMUONE KOMBE LA DUNIA
 
Watu wa Liver mnatafuta mchawi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwani Benzima na zidane wa madrid wenyewe walifunga......au allah kamuona Mo sala peke yake, anyway kuna la kujifunza katika hilo unavo panga na allah anapanga.....ndomaana kila jambo tunatanguliza inishaallah.......
Zidane alishang'atuka
 
Hukumu za kibinadamu zinatisha kuliko za aliyeziweka.

Nguzo za uislam ziko 5 je ? Zinazidiana kwa ubora au zote ni muhimu na zizingatiwe.

Mtoa mada unamaanisha Jana ,mbali ya mpira DINI pia zilishindana, kimtizamo wako BALE Ibada yake ilipokelewa, SADIO alikadhalika bila kumsahau BENZEMA.

MO na KIPA Wa LIVERPOOL walimkosea Mola wao.

Kwangu mmmmh sio sawa.
 
Nakuunga mkono moja kwa moja mtoa mada.

walimpressure sana asifunge nayeye akalegeza msimamo.

Alichokionesha ni udhaifu wa imani.
 
Wabongo bana. Sijui kajuaje kama Salah hakufunga? Sijui kajuaje ile event ni adhabu kutoka kwa Allah? Sijui ile zawadi ya goal la Benzema ni kwa kuwa yeye alifunga? Tunaongea sana. Wajuaji at best.

- watu wa masuala ya afya wa liverpool walithibitisha kama Salah na Mane hawatofunga kuanzia Alhamis. wakati mane hakukua nashaka kame asingelifunga siku ya mechi, kesi ilikua kwa salah amabae alionekanwa asingeliacha kirahisi kufunga, hajapatapo kuacha kufunga kwa mpira.
- Kila anaekua karibu zaidi na Mungu kiimani ndie anaepata majaribio au mitihani zaidi ili kupimwa uzito wa imani yake. Kama ni muislamu basi utafaham hilo, kama sie nakubali itakua ngumu kulielewa. kwaiyo kuhusu kesi ya Benzema huwezi fanananisha na salah hata kama wote ni waislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…