Kuumizwa na mafanikio ya Simba Sc ni maradhi ya kujitakia

Kuumizwa na mafanikio ya Simba Sc ni maradhi ya kujitakia

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
437144ff34e244cd902738dff750ce31_337750929_510020934679007_4450290376390274919_n.jpg

Mafanikio ni nini?

Mafanikio ni hatua ya kufikia au kuzidi malengo uliyojiwekea. Kwa lugha ya kigeni tunaita Goal Achievement.

Simba tumekuwa na malengo kadhaa kila mwaka. Moja ya malengo yamekuwa ni kufanya vizuri kimataifa na kwa kiwango kikubwa tumekuwa tukifanikiwa kifikia malengo yetu. Huu ni mwaka mwingine tena wa kuthibitisha umwamba wetu kama Tanzanian Giants.

Kama ilivyo ada ukifanikiwa unavuta maadui wengi. Wengi wao wanakuwa hawana sababu za msingi za kuchukizwa na mafanikio yako.

Sisi hatuna habari tunafikiria jinsi ya kujikita juu. Tunaumizwa vichwa na robo fainali za Ligi ya Mabingwa.
Kwenye hatua hii hakuna mnyonge.

CR Belouzdad amecheza robo fainali mbili ya ligi ya mabingwa hii ni robo fainali yake ya tatu (3).

Esparance ametwa Ubingwa wa Ligi ya Mabingwa mara nne (4).

Js Kabylie ametwaa ubingwa wa Afrika mara mbili (2).

Raja Casablanca amechukua Ubingwa wa ligi ya mabingwa Afrika mara tatu (3).

Wydad Athletics Ndo bingwa Mtetezi wa kombe hili na ametwaa Ubingwa mara tatu.

Mamelod ametwaa ubingwa mara moja na amecheza fainali mara moja.

Al Ahly hili ndo balaa kuu la Afrika kachukua Ubingwa huu mara mara 10.

Al Hilal ya amecheza fainali mara mbili (2).

Halafu kuna sisi hapa Simba Sports tumecheza nusu Fainali moja na tuna robo Fainali 3 za Ligi ya Mabingwa Afrika.
 
Mafanikio gani wakati Kanjibai anadai mnamtia hasara
Hasara kwenye uendeshaji (running cost)

Sio kwenye mafanikio.....

Na hiyo kitu hata yule mdigo wenu mnayemuita injinia naye aliwahi ku admit kuwa Yanga inamtia hasara.

So what's your point dude?
 
Kama timu yako haipo supa league comment yangu achana nayo..
 
Hapo simba kavamia mtumbwi wa vibwengo akiwa na wahuni wenzake wawili.

Hiyo show kama ni disco vumbi wazamiaji wapo watatu.

Watatu hao wanaosindikiza wenzao ni simba, CR Belouizdad na JS kabylie.

Wengine watano waliobaki ndio wanacheza ligi yao ya mabingwa kwenye hatua walizozizoea kuzicheza kila msimu.

Bingwa lazima atoke katika hao watano .
 
First Eleven ya Simba katika Robo Fainali Championship inatakiwa iwe hivi.

1. Manula, Sub Kakolanya.
2. Kapombe
3. Muhammadi Hussein
4. Onyango
5. Inonga
6. Kennedi Juma.
Hapa kati ya Kennedi na Inonga kama tunashabuliwa wanarudi nyuma kuanzia mstari wa kati.
Kama tunashambulia Inonga anacheza kama 6 akibadilishana na Kennedi.

7. Moses Phili, Sub Ntibayonkiza
8. Puttin, Kanoute Mzee wa Mashut, Sub Mzamiru, Punda
9. Baleke Baende, Sub Kibu D
11. Cletus Chama, Sub Sakho.

Hicho ndio kikosi JIWE cha kupambana na Wakubwa wenzetu kwenye Championship.
 
First Eleven ya Simba katika Robo Fainali Championship inatakiwa iwe hivi.

1. Manula, Sub Kakolanya.
2. Kapombe
3. Muhammadi Hussein
4. Onyango
5. Inonga
6. Kennedi Juma.
Hapa kati ya Kennedi na Inonga kama tunashabuliwa wanarudi nyuma kuanzia mstari wa kati.
Kama tunashambulia Inonga anacheza kama 6 akibadilishana na Kennedi.

7. Moses Phili, Sub Ntibayonkiza
8. Puttin, Kanoute Mzee wa Mashut, Sub Mzamiru, Punda
9. Baleke Baende, Sub Kibu D
11. Cletus Chama, Sub Sakho.

Hicho ndio kikosi JIWE cha kupambana na Wakubwa wenzetu kwenye Championship.
Wapi namba kumi kwenye First Eleven Yako!?
 
Hasara kwenye uendeshaji (running cost)

Sio kwenye mafanikio.....

Na hiyo kitu hata yule mdigo wenu mnayemuita injinia naye aliwahi ku admit kuwa Yanga inamtia hasara.

So what's your point dude?
Hakuna mafanikio ya hasara
 
Nelson Okwa
Augustine Okrah
Habib Kyombo
Nassor Kapama
Mohamed Outarra
Ismail Sawadogo
Victor Akpan

Huo ni usajili ndani ya msimu mmoja. Nayo ni mafanikio
 
Simba wanajivunia kombelao la kuwa klabu inayo ongoza Kwa mambo ya kishirikina na fitna za kupuliza madawa vyumba vya kuvalia vya timu pinzani, kufukia makafara uwanjani , kutumia mapaka Ili kupata ushindi.

Ndugu Mbumbumbu fc hakuna atakaye waonea wivu katika sekta iyo, nyie ni wababe mlio tukuka katika Eneo ilo kuanzia mchezaji mmoja mmoja mpaka timu yenu Kwa ujumla.
Hongereni hamkamatiki Wala hamshi kiki.
 
Back
Top Bottom