ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Habarini wadau wenzangu
Mm nina tatizo la kuumwa kwa unyayo na kisigino sana yaani unauma nashindwa hata kutembea vyema, nimetumia mafuta ya karafuu lakini tatzo liko palepale yaani inauma kuanzia vidoleni mpaka mwishowa unyayo
Mm sio mtu wa kutumia vyakula vyenye mafuta mengi natumia kawaida na na kula mbogamboga kwa sana sasa sijui tatizo ni nini naombeni msaaida wa dawa gani Nitumie maana unauma sana.
Mm nina tatizo la kuumwa kwa unyayo na kisigino sana yaani unauma nashindwa hata kutembea vyema, nimetumia mafuta ya karafuu lakini tatzo liko palepale yaani inauma kuanzia vidoleni mpaka mwishowa unyayo
Mm sio mtu wa kutumia vyakula vyenye mafuta mengi natumia kawaida na na kula mbogamboga kwa sana sasa sijui tatizo ni nini naombeni msaaida wa dawa gani Nitumie maana unauma sana.