Kuumwa meno yote kinywani

Kuumwa meno yote kinywani

Habari zenu ndugu zangu! Nna tatizo la kuumwa meno yoote kinywa kizima hasa ya hapa mbele! Si maumivu makali Ila yanauma! Mpaka kichwa huniuma! Kichwa nakuwa ckielew elew kabisaa! Af ikutokea kuna msuguano Kati ya labda mtu amesogeza kitu MF.sufuria kwenye tiles mamaaa ndo yanazidi! Hii hali inanikosesha raha jaman nisaidieni tafadhalini
korino hata mimi nina tatizo hilo hasa pale mtu anapo sugua kitu au kusogeza au kuburuza huwa naumia sana na sehemu zenye kelele za hivyo huwa siwezi kaa..!
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu ndugu zangu! Nna tatizo la kuumwa meno yoote kinywa kizima hasa ya hapa mbele! Si maumivu makali Ila yanauma! Mpaka kichwa huniuma! Kichwa nakuwa ckielew elew kabisaa! Af ikutokea kuna msuguano Kati ya labda mtu amesogeza kitu MF.sufuria kwenye tiles mamaaa ndo yanazidi! Hii hali inanikosesha raha jaman nisaidieni tafadhalini

Pole sana. Kuna mfanyakazi mwenzangu alipatwa na hilo tatizo kipindi hicho tupo uko mkoa mmoja upo mpakani sasa akaenda hospital ya kule akaambiwa ang'olewe meno yote jamaa alichanganyikiwa. Mimi nikamwambia afanye utaratibu aje muhimbili, kweli alipofika hapa muhimbili alifanyiwa vipimo ikaonekana kuna jino moja la mwisho limegusa mishipa ya meno mengine hivyo ndio inasababisha hiyo hali. Walichokifanya walimfanyia upasuaji kwenye lile jino akapona kabisa mpaka leo yupo fit kabisa. Yeye pia alikua kama hivyo unavyosema wewe. Nakushauri wahi hospital kama upo dar nenda muhimbili
 
Back
Top Bottom