Kuunda Tume ya Kariakoo ni uongo mwingine!

Kuunda Tume ya Kariakoo ni uongo mwingine!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuna njia rahisi sana za kujua kimetokea nini Kariakoo na majengo yamejengwa vipi na yapo kwenye hali gani.

Serikali ingetakiwa kutangaza tender kwa kampuni zenye utaalamu wa uchunguzi wa aina hii na waje na ripoti. Badala yake tunaweka Tume hizi fake ambazo zitaleta ripoti za kisiasa ambazo tusishangae zikabakia kusifia watu badala ya kutoa suluhisho. Tujiulize ni ripoti ngapi rahisi tu za watu kuuliwa kiholela mpaka leo zimekuwa maneno maputu.

Kampuni za uchunguzi wa namna hii ambazo ni za kitaalamu zingetumika hata kwa kizazi kijacho. Sasa tutaishia watu kushinda na kufanya vikao.

PIA SOMA
- Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa
 
Wajumbe wanatoka jwtz, tiss, ikulu, polisi, zimamoto, takukuru vyuo vikuu na kampuni za ujenzi.

Zitafanya kazi takatifu, na Kila anayejaribu kukwamisha atapitia wakati mgumu sana.

Huyo brigedia na jopo lake wanaoweza.....wengi wasukuma hawacheki na kima
 
Kuna njia rahisi sana za kujua kimetokea nini Kariakoo na majengo yamejengwa vipi na yapo kwenye hali gani.

Serikali ingetakiwa kutangaza tender kwa kampuni zenye utaalamu wa uchunguzi wa aina hii na waje na ripoti. Badala yake tunaweka Tume hizi fake ambazo zitaleta ripoti za kisiasa ambazo tusishangae zikabakia kusifia watu badala ya kutoa suluhisho. Tujiulize ni ripoti ngapi rahisi tu za watu kuuliwa kiholela mpaka leo zimekuwa maneno maputu.

Kampuni za uchunguzi wa namna hii ambazo ni za kitaalamu zingetumika hata kwa kizazi kijacho. Sasa tutaishia watu kushinda na kufanya vikao.

PIA SOMA
- Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa
Wanakula kwa urefu wa kamba
 
Maiti zinatolewa kwa siri mpaka leo hakuna idadi !!
 
Back
Top Bottom