Kuungana kwa Kagame na Ruto, taa nyekundu imetuwakia Tanzania

Kuungana kwa Kagame na Ruto, taa nyekundu imetuwakia Tanzania

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Rais Ruto na Rais Kagame, wameungana na Kwa sasa Tanzania imebakia kibogoyo sio bandari Wala makongamano ya kimataifa.

Kwa sasa mizigo ya eastern DRC inapitia Mombasa, Burundi nao wengi wameenda Mombasa, Rwanda kwa sasa anapitia mombasa.

Hao wote wanadai bora wakatembee umbali mrefu lakini gharama za bandari ya mombasa ni kidogo sana kuliko gharama za Dar Port.

Kwa sasa makongamano yote makubwa ya kidunia na kiafrika tutayasikia Kigali na Nairobi huo ndio ukweli.
Ushawishi wa Tanzania yenye viongozi wa aina hii Kwa sasa umekwisha na ile ugiant wetu kwenye ukanda huu umekufa kabisa.

Nani alaumiwe, na nani katufikisha hapa tulipo lazima tujitafakari ili tusonge mbele tofauti na hapo sijui.
Bandari tulipewa na Mungu na Kwa sasa miaka inavyokwenda mbele hiyo bandari inakwenda kujifia yenyewe kifo cha kikatili.
 
Tishio ni walio madarakani wasio na maono, anything else is excuse.
 
Hakuna Taifa serious linaweza kuwa na urafiki wa kweli na Tanzania.

Kifupi hatuko serious ndio maana inakuwa ngumu kwa waliokuwa serious kuambatana na sisi.

Tatizo kubwa la Tanzania ni walaji wengi waliojificha kwenye kichaka kinachoitwa siasa na mfumo unaomilikiwa na CCM, matokeo yake ni idadi kubwa ya mabwanyenye wasiozarisha na kufikiri lolote gumu kwa maslahi ya Taifa.

Kiasi kikubwa cha kipato cha Tanzania kinatumika kuhudumia mabwanyenye na wapambe wao.
 
Hakuna Taifa serious linaweza kuwa na urafiki wa kweli na Tanzania.

Kifupi hatuko serious ndio maana inakuwa ngumu kwa waliokuwa serious kuambatana na sisi.

Tatizo kubwa la Tanzania ni walaji wengi waliojificha kwenye kichaka kinachoitwa siasa na mfumo unaomilikiwa na CCM, matokeo yake ni idadi kubwa ya mabwanyenye wasiozarisha na kufikiri lolote gumu kwa maslahi ya Taifa.

Kiasi kikubwa cha kipato cha Tanzania kinatumika kuhudumia mabwanyenye na wapambe wao.
Ni kweli watumishi wa umma wananyonywa na kitu inayoitwa siasa..yaani maskini mtumishi wa umma anakufa kwa kutojali hali yake....somesheni watoto wenu biashara...ukienda tofauti utaanndaa wanyonywaji....

Wanasiasa ni watu hatari sana
 
Ni kweli watumishi wa umma wananyonywa na kitu inayoitwa siasa..yaani maskini mtumishi wa umma anakufa kwa kutojali hali yake....somesheni watoto wenu biashara...ukienda tofauti utaanndaa wanyonywaji....

Wanasiasa ni watu hatari sana
Umsomeshe biashara akasimamie ya Nani?Kila siku wanasoma BBA,MBA na wako wamejaa mtaani
 
Nilikuwa nasikiliza DW Swahili,Uganda ameingia mkataba na Yapi Merkez ya kujenga reli kutoka boda yake na Kenya hadi Kampala-Kigali,kilichokuwa kinasubiriwa ni Kenya kutoa ruhusa ya ujenzi maana Uganda aliambiwa hadi Kenya atoe ruhusa ndio upate mkopo. Nilichokipenda ni Uganda kuweka msimamo dhidi ya Wachina.Hawa jamaa walitaka wajenge km1 kwa dola mil.7 wakati Mturuki yeye alisema km.1 kwa dola mil.1.7......ndipo Uganda akaamua kumpa tenda Mturuki na wamemuona jinsi anavyojenga reli ya hapa kwetu. Sasa sisi tumempa Mchina kipande cha Mwanza-Shinyanga-Kahama-Isaka na kipande cha Tabora-Mpanda-Kigoma,sijui kama hatujapigwa gharama kubwa.
 
Rais Ruto na Rais Kagame, wameungana na Kwa sasa Tanzania imebakia kibogoyo sio bandari Wala makongamano ya kimataifa.

Kwa sasa mizigo ya eastern DRC inapitia Mombasa, Burundi nao wengi wameenda Mombasa, Rwanda kwa sasa anapitia mombasa.

Hao wote wanadai bora wakatembee umbali mrefu lakini gharama za bandari ya mombasa ni kidogo sana kuliko gharama za Dar Port.

Kwa sasa makongamano yote makubwa ya kidunia na kiafrika tutayasikia Kigali na Nairobi huo ndio ukweli.
Ushawishi wa Tanzania yenye viongozi wa aina hii Kwa sasa umekwisha na ile ugiant wetu kwenye ukanda huu umekufa kabisa.

Nani alaumiwe, na nani katufikisha hapa tulipo lazima tujitafakari ili tusonge mbele tofauti na hapo sijui.
Bandari tulipewa na Mungu na Kwa sasa miaka inavyokwenda mbele hiyo bandari inakwenda kujifia yenyewe kifo cha kikatili.
Sio kweli Tanzania tupo viziri sana kwa sasa mwenye macho haambiwi tazama..
 
Back
Top Bottom