Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hawa viongozi wazoefu upinzani, ndio pekee turufu muhimu iliyobakia Tanzania, kuunusuru upinzani dhaifu sana uliopo na uliogawanyika pakubwa na kupoteza dira na uelekeo kabisa.
Muungano wa aina yoyote baina ya hawa waungwana unaweza kuleta ahuweni na pumzi mpya upinzani na pengine kuchochea na kubadili sura na uelekeo wa siasa za Tanzania tuendako, kulingana na aina na mtindo wa siasa zao kitaifa na kimataifa.
Haupo uwezekano wa upinzani kuimarika tena bila hawa viongozi wakongwe kurejea katika medani za siasa za Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania.
Muungano wa aina yoyote baina ya hawa waungwana unaweza kuleta ahuweni na pumzi mpya upinzani na pengine kuchochea na kubadili sura na uelekeo wa siasa za Tanzania tuendako, kulingana na aina na mtindo wa siasa zao kitaifa na kimataifa.
Haupo uwezekano wa upinzani kuimarika tena bila hawa viongozi wakongwe kurejea katika medani za siasa za Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania.

