what a thread, Komado, MamaEE, LAT keep on feeding us!
Unajua hata wamachinga, ukakuta kuna mabanda 15 kila mmoja ana uza nguo za kike ya yamefuatana, au mabegi, au wanatembeza mtaani. wangefungua duka moja la vikorombwezo vyote wanavyouza kwenye maduka yao, wanalipa kodi ya pango moja, wanaajiri watumishi 3 au 4, wanalipa kodi ya TRA moja, wanatumia leseni moja, wanatumia TIN moja.... na wanagawana faida kwa kulingana na kiasi cha mtaji ulichowekeza.. and of couse return ni kubwa kutokana na kununua in bulk and minimal operational costs
watembeza bidhaa mtaani... watu 10 tu wanweza kufungua duka na wakafanya kazi kwa kurelax zaidi ya stress walizonazo na kwa kuwa wataajiri mtumishi watapata muda wa ziada wa kufanya shughuli nyingine za kuwaingizia kipato na kuongezeka
Tatizo in wrong intuitions tulizo nazo waTZ zinatutesa... wazo la kuanzisha JE lilivyoletwa ndo nilijua Wtz tuna shida kubwa.. watu walikuwa sooo negative na sasa je!??? hahaha ngoja ncheke mie niongeze maisha! huu ni mfano mdogo tuu wa mambo kuwa yanawezekana, Changamoto za uaminifu ndo kazi za kufanya.... we work on challenges! hakuna chanamoto hakuna kazi za kufanya... so kama unaogopa changamoto unaogopa kazi, na kama unaogopa kazi wewe ni masikini wa mwili wako mwenyewe