KERO Kuunganishiwa umeme kunachukua muda mrefu sana Geita

KERO Kuunganishiwa umeme kunachukua muda mrefu sana Geita

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Qin

New Member
Joined
Feb 29, 2024
Posts
2
Reaction score
1
Nimelipia gharama za kuunganishwa na umeme toka mwezi February mwaka huu.

Nimejisomba sana kwenda Tanesco kila leo mpaka sasa nimechoka.

Nilipohamia kwenye nyumba nimepata tabu sana mwanzoni kutokana na giza ila mpaka nimeona sasa ni kawaida.

Uwajibilaji uko wapi? Hizo nguo za toka February mpaka leo kweli?

Mwanzo walikua kimya ila sasa tunatumiwa meseji za kuombwa kuwa wavumilivu, mpaka lini?

TANESCO

C6276C61-CB20-47FA-A57A-79B5F01D9742.jpeg
 
Hata mimi huu ni mwezi wa sita sijawekewa umeme kisa hakuna nguzo hapA KAHAMA. Hii ni nchi biashara ya serikali inakufa kisa wateja ni wengi.
 
Maofisini wamejaa wajinga wengi na wala rushwa.
Nilikuwa Tanga mjini nako watu wengi wamelipia maji ila hakuna mita na vifaa vingine vya kuunganishiwa maji huku wananchi wameshalipa pesa zao miezi kadhaa nyuma.
Ni ujinga wa SGR.
 
Back
Top Bottom