Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Amekwambia bado zko ofisini (document znazohusu hyo offer) na anadai hana uhakika kama zmesainiwa na mbaya zaidi bado kuna fees hajalipia au mm sion alicho andika hapo??...suala La kuuza apate kwanza uhakika wa hyo document akiwa nayo m naamin ataweza kuuza cdhan kama atazuiliwa ati kisa hana GRO coz bado kuna watu walipewa huko nyuma na wanazihold sasa ina maana na wao hawawez kuacess land market?? Wat kind of Economy is that??.
Amekwambia bado zko ofisini (document znazohusu hyo offer) na anadai hana uhakika kama zmesainiwa na mbaya zaidi bado kuna fees hajalipia au mm sion alicho andika hapo??...suala La kuuza apate kwanza uhakika wa hyo document akiwa nayo m naamin ataweza kuuza cdhan kama atazuiliwa ati kisa hana GRO coz bado kuna watu walipewa huko nyuma na wanazihold sasa ina maana na wao hawawez kuacess land market?? Wat kind of Economy is that??.
Wewe wacha kupotosha.. Hii kitu imekuwa repealed na sheria namba 17 ya 2008 S.5
Ndio maana hapo mwanzo nimesema mlikuwa mnaenda kinyume na matakwa ya Sheria.
Wewe wacha kupotosha.. Hii kitu imekuwa repealed na sheria namba 17 ya 2008 S.5
Ndio maana hapo mwanzo nimesema mlikuwa mnaenda kinyume na matakwa ya Sheria.
Sorry kumbe napotosha, anyway mie nilipewa LETTER OF OFFER baada ya kukamilisha malipo , of curse ilikuwa 2007 na letter of offer niliitumia kwa kufuatilia hati yangu 2009 hivyo kwangu ni ngumu kujua kama kuna mabadiliko. Kwahiyo nikinunua kiwanja sasa hivi napewa nini maana Halmashauri / Manispaa / Jiji kazi yake kupima viwanja na kuuza ambapo ulikuwa ukimaliza unapewa letter of offer na Manispaa/jiji alafu baadae hati yako unaifuatilia kwa kamishina wa ardhi. (kwahiyo kwa sasa kuna nini mkuu kwa sababu kwenye masuala ya ardhi so mtaalamu wa ardhi ila nina practical experience ya utumiaji wa ardhi na document zake nadhani itakuwa vyema kama ukitutajia mbadala wa letter of offer na mahusiano ya hizi idara mbili mtoa hati ambae ni kamishina wa ardhi na muuza viwanja ambae ni manispaa, halmashauri za wilaya na majiji)Wewe wacha kupotosha.. Hii kitu imekuwa repealed na sheria namba 17 ya 2008 S.5
Ndio maana hapo mwanzo nimesema mlikuwa mnaenda kinyume na matakwa ya Sheria.
Sasa nisaidie jibu atauza vipi ilihali hana hati wala doc za umiliki halali wa hiyo Ardhi!?
I said from the very beginning kwamba " aende halimashaur husika kama atazuiliwa kuuza kwa sababu ya taratibu hzo mpya basi apate hyo offer kwa sababu tayar ina andaliwa then, baada ya kupata offer itachukua mda mfupi kupata GRO kama kweli atakua serious... Lakin ninachojua watu huwa wananunua offer afu yule anaye nunua kwa sababu ndo ataendelea kumiliki anatafuta RO "principles of equity" lakin siyo kumkatalia mtu asiuze ilihali kuna vgezo vnamuoneshwa ni mmiliki mtarajiwa wa eneo lile na alitoa hela za kulinunua...ukimkatalia where is fairness??.
Kwanza nakuunga mkono mkuu, Pia ukisoma maelezo ya huyo mleta uzi kidogo kuna utata kwa kuwa na yeye hayupo aware na mambo ya ardhi, kimsingi kama kiwanja amekilipia ile letter of offer alitakiwa awe nayo mkononi mara tu alipomaliza na mara nyingi ukishalipia unapeleka picha 4 kama sikosei alafu unasaini zile letter offer na unaambiwa uje baada ya siku kadhaa kuja kufuata letter of offer yako kwa kuwa inatakiwa ipite kwa maafisa kadhaa kitu ambacho kwa siku hiyo hiyo haiwezekani.
Kwa kumsaidia huyu kamanda naungana na wewe pia kuna mistake ndogo aliifanya ya kutokwenda kuichukua kwa wakati offer yake hivyo kama ana receipt zote za manunuzi anatakiwa aende kwenye Manispaa ya Kinondoni na receipt zake watampa letter of Offer ambayo hiyo ni mali yake wala haitakiwi kubaki kule manispaa kwa kuwa na wao wana copy zao tena tatu alafu akishapata ile offer baadae anatakiwa sasa afuatilie hati (kimsingi ukshapewa offer baada ya miezi 6 unatakiwa upewe hati ila kwa kuwa watumishi wa serikali mambo mengi inabidi ufuatilie tena hapo hapo Kinondoni kwa kuwa Manispaa huwa right of occupance kujua kama zimepelekwa kwa kamishina wa ardhi kama bado atakupa mwongozo mara nyingi mnaweza enda nae au akakupa ukaenda kwa mwanasheria ambae ana approve kama ni wewe na kukugongea mhuri kisha unamrudishia (zinakuwa mbili na duplicate yake) kisha yeye ataipeleka kwa kamishina wa ardhi (I guess kwa Dar zinapelekwa wizarani ila sehemu zingine kuna makamishina wa ardhi), kazi yako wewe ni kwenda kwa kamishina kuhakikisha kama hati yako imesajiriwa na kama imesajiriwa utasaini kwenye logbook na kuanza na kupewa tarehe ya kurudi tena (ambapo wale ambao hati zao tayari majina yao yanabandikwa ukutani na kama bado unaulizia mpaka watakupatia)
Mleta uzi atakuwa alipolipia tu na kupewa zile receipt hakufuatilia offer (kwahiyo pita ofisini Kinondoni na receipt zako watakupa offer
Pia served katika comment #5 ameeleza vizuri, kama huna hati lazima mwende wote Manispaa kuhakikisha kwamba kiwanja ni chako alafu taratibu za umilki kwa mwingine zinafanyika wakati kiwanja kimeuzwa (na ndio maana inashauriwa ukiwa na offer hata kama kiwanja kimepimwa na umekilipia bado unatakiwa uwe na hati ili utakapokiuza ni kwenda kwa mwanasheria tu yaani kama vle unapokuwa na kadi ya gari mnapouziana lakini ukiwa huna hati lazima mwende halmashauri then process iwe ndefu kama hiyo lakini biashara mnafanya tu bla shida)
Cathode Rays njoo utoe uzoefu maana inabidi sie tusiojua sheria tutoe uzoefu wetu alafu wazee wa sheria nao watoe maandiko yao
Kazi yako ni moja tu ambayo ni CC, mwaga nondo mkuu Asprin
Mkuu mimi ni layman kwenye haya mambo. Mi hutumia kijana kufuatilia haya mambo. Ngoja nikatafute experience kwake labda ntaweza kuja kumwaga nondo.
Kwanza nakuunga mkono mkuu, Pia ukisoma maelezo ya huyo mleta uzi kidogo kuna utata kwa kuwa na yeye hayupo aware na mambo ya ardhi, kimsingi kama kiwanja amekilipia ile letter of offer alitakiwa awe nayo mkononi mara tu alipomaliza na mara nyingi ukishalipia unapeleka picha 4 kama sikosei alafu unasaini zile letter offer na unaambiwa uje baada ya siku kadhaa kuja kufuata letter of offer yako kwa kuwa inatakiwa ipite kwa maafisa kadhaa kitu ambacho kwa siku hiyo hiyo haiwezekani.
Kwa kumsaidia huyu kamanda naungana na wewe pia kuna mistake ndogo aliifanya ya kutokwenda kuichukua kwa wakati offer yake hivyo kama ana receipt zote za manunuzi anatakiwa aende kwenye Manispaa ya Kinondoni na receipt zake watampa letter of Offer ambayo hiyo ni mali yake wala haitakiwi kubaki kule manispaa kwa kuwa na wao wana copy zao tena tatu alafu akishapata ile offer baadae anatakiwa sasa afuatilie hati (kimsingi ukshapewa offer baada ya miezi 6 unatakiwa upewe hati ila kwa kuwa watumishi wa serikali mambo mengi inabidi ufuatilie tena hapo hapo Kinondoni kwa kuwa Manispaa huwa right of occupance kujua kama zimepelekwa kwa kamishina wa ardhi kama bado atakupa mwongozo mara nyingi mnaweza enda nae au akakupa ukaenda kwa mwanasheria ambae ana approve kama ni wewe na kukugongea mhuri kisha unamrudishia (zinakuwa mbili na duplicate yake) kisha yeye ataipeleka kwa kamishina wa ardhi (I guess kwa Dar zinapelekwa wizarani ila sehemu zingine kuna makamishina wa ardhi), kazi yako wewe ni kwenda kwa kamishina kuhakikisha kama hati yako imesajiriwa na kama imesajiriwa utasaini kwenye logbook na kuanza na kupewa tarehe ya kurudi tena (ambapo wale ambao hati zao tayari majina yao yanabandikwa ukutani na kama bado unaulizia mpaka watakupatia)
Mleta uzi atakuwa alipolipia tu na kupewa zile receipt hakufuatilia offer (kwahiyo pita ofisini Kinondoni na receipt zako watakupa offer
Pia served katika comment #5 ameeleza vizuri, kama huna hati lazima mwende wote Manispaa kuhakikisha kwamba kiwanja ni chako alafu taratibu za umilki kwa mwingine zinafanyika wakati kiwanja kimeuzwa (na ndio maana inashauriwa ukiwa na offer hata kama kiwanja kimepimwa na umekilipia bado unatakiwa uwe na hati ili utakapokiuza ni kwenda kwa mwanasheria tu yaani kama vle unapokuwa na kadi ya gari mnapouziana lakini ukiwa huna hati lazima mwende halmashauri then process iwe ndefu kama hiyo lakini biashara mnafanya tu bla shida)
Cathode Rays njoo utoe uzoefu maana inabidi sie tusiojua sheria tutoe uzoefu wetu alafu wazee wa sheria nao watoe maandiko yao
Mkuu uko very right na sina cha kuongeza
That is how it works. Na moja ya makosa ya kizembe ni kutokuchukua Leter of Offer yako mapema na kwa wakati
Maafisa ardhi wetu walivyo mafisi usishangae mchezo ukachezwa.
Hii inatoa usalama hata kama bado hujawa na right of occupancy.
Anaesema hazitumiki kisheria napata ugumu kumuelewa maana Manispaa zote mbili nilizo na viwanja hizi Letter of Offer wanazitoa lakini zaidi ni miongoni mwa viambatanisho (backup) muhimu unapotaka ku-process vibali vya ujenzi. Najua wana wanasheria wa Manispaa zao na kama hazipo kisheria inakuwaje ziruhusiwe kutumika?
Hivyo mtoa mada tambua Letter of Offer ni za muhimu na fuatilia uipate na hakikisha unailipia kodi ya ardhi kila mwaka
Kwa nyongeza pia, kama ulivyosema mkuu Jodoki Kalimilo, mnaweza kuuziana kama una Letter of Offer bila shida yoyote.
Rafiki yangu mmoja kanunua kiwanja cha mtu kwa kutumia Letter of Offer.... of course ni ka process kidogo maana nilienda nae na alipewa maelekezo kuna kulipia lakini kama sikosei kuna amount fulani inabidi upeleke TRA ambayo ni asilimia kadhaa ya ile amount uliyolipia (I stand to be corrected maana sikumbuki vyote per ser).
Walienda Mahakamani kuprocess hiyo transfer na walipomaliza wakaenda Manispaa sasa kufacilitate mchakato wa kuhamisha umiliki kwenye files za Manispaa. Kisha huyu mmiliki mpya akatengezewa file lake na file la mmiliki wa zamani linabanwa nyuma ya file la mmiliki mpya
Mkuu uko very right na sina cha kuongeza
That is how it works. Na moja ya makosa ya kizembe ni kutokuchukua Leter of Offer yako mapema na kwa wakati
Maafisa ardhi wetu walivyo mafisi usishangae mchezo ukachezwa.
Hii inatoa usalama hata kama bado hujawa na right of occupancy.
Anaesema hazitumiki kisheria napata ugumu kumuelewa maana Manispaa zote mbili nilizo na viwanja hizi Letter of Offer wanazitoa lakini zaidi ni miongoni mwa viambatanisho (backup) muhimu unapotaka ku-process vibali vya ujenzi. Najua wana wanasheria wa Manispaa zao na kama hazipo kisheria inakuwaje ziruhusiwe kutumika?
Hivyo mtoa mada tambua Letter of Offer ni za muhimu na fuatilia uipate na hakikisha unailipia kodi ya ardhi kila mwaka
Kwa nyongeza pia, kama ulivyosema mkuu Jodoki Kalimilo, mnaweza kuuziana kama una Letter of Offer bila shida yoyote.
Rafiki yangu mmoja kanunua kiwanja cha mtu kwa kutumia Letter of Offer.... of course ni ka process kidogo maana nilienda nae na alipewa maelekezo kuna kulipia lakini kama sikosei kuna amount fulani inabidi upeleke TRA ambayo ni asilimia kadhaa ya ile amount uliyolipia (I stand to be corrected maana sikumbuki vyote per ser).
Walienda Mahakamani kuprocess hiyo transfer na walipomaliza wakaenda Manispaa sasa kufacilitate mchakato wa kuhamisha umiliki kwenye files za Manispaa. Kisha huyu mmiliki mpya akatengezewa file lake na file la mmiliki wa zamani linabanwa nyuma ya file la mmiliki mpya
Jamaa umeongea kitu cha msingi sana aisee, unajua wengi huwa wananunua viwanja ambavyo vinakuwa vina letter of offer na hujiridhisha kabisa ile letter of offer ndio hati yenyewe kwa kigezo tu kiwanja kimepimwa (of course wapo sawa hawawezi kunyang'anywa kiwanja kama wamejenga nyumba kwa kuwa kama kulipia ardhi wanalipia bila shida). Lakini linapokuja suala la kuuza lazima mtu awe na right of occupacy na hata kama utamuuzia mtu lazima kabla ya kununua ifanyike utaratibu wa kubadilisha umilki then ndio mtu wa pili anauziwa, maana yake hapa mwenye letter of offer anatakiwa afanye mchakato wa kupata right of occupancy kwanza ndipo ardhi auze. Na ndio maana wengi huporwa viwanja alafu wanalalamika lakini kama kiwanja kina hati aka right of occupancy ni ngumu kwa mtu kufanya uhuni wa kumpora mtu kienyeji lazima kuwe na mkono mrefu sana
Naona umehamia kwa mtu mwingine...hyo sheria ya ardhi ya 2008 inaitwaje...cite jina la hyo Act tafadhali.
Mkuu maamuzi ya mwaka88 yanaweza kufutwa na sheria yoyote ikiwa repealed. Mwaka 1999 ilitungwa sheria ya ardhi iliyo na nguvu zaidi ya mwaka88Kalimililo, soma case law hiyo utapata the real taste of the power of latter of offer:
SARJIT SINGH v SEBASTIAN CHRISTOM 1988 TLR 24 (HC) Court High Court of Tanzania - Dar Es Salaam
Judge Kyando J
Maelezo yako siyo sahihi, jitahidi usiandike mambo bila kujua fika unachokiandika. Utawapotosha watu. lakini umejitahidi kutuelimisha, asante
Mkuu maamuzi ya mwaka88 yanaweza kufutwa na sheria yoyote ikiwa repealed. Mwaka 1999 ilitungwa sheria ya ardhi iliyo na nguvu zaidi ya mwaka88
...mfano kabla ya 99 land tribunal ruling zilikuwa unapoeallable. Baada ya sheria ya ardhi mpya iliondolewa. Ivo sheria zinaenda na wakati mkuu!!