Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Kalimililo, soma case law hiyo utapata the real taste of the power of latter of offer:
SARJIT SINGH v SEBASTIAN CHRISTOM 1988 TLR 24 (HC) Court High Court of Tanzania - Dar Es Salaam
Judge Kyando J
Maelezo yako siyo sahihi, jitahidi usiandike mambo bila kujua fika unachokiandika. Utawapotosha watu. lakini umejitahidi kutuelimisha, asante
Of course I am layman ktk mambo ya sheria ila msisitizo wangu ulikuwa kuonyesha ukiwa na letter of offer jitahidi uwe na hati kabisa maana uswahilini watu wanapigwa kisa kiwanja hajakiendeleza alafu ukute hakijalipiwa kodi ya ardhi watu wanakipiga tofauti na chenye hati ambapo zoezi la kuifuta hati ni mlolongo mwingine tena