Kuuza na kukodisha movie: Biashara simple faida kubwa

Kuuza na kukodisha movie: Biashara simple faida kubwa

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Habari wana jukwa hili tamu,moja kwa moja ngoja nienda kwenye point,kuna biashara ya LIBRARY YA KUINGIZA NYIMBO NA KUKODISHA CD ni biashara inayoonekana ya kawaida sana,ila ni biashara yenye pesa nyingi tu,ninaposema pesa nyingi nina maana faida kibao,isiyo na presha ya mtaji kukata,mara bidhaa zitaoza n.k.

Ili upate faida inakupasa uifanye tofauti na wenzako wanavyoifanya huko mtaani,kabla ya kufungua hii biashara kwanza fanya mchunguzi wa kina kama mwenzi mmoja hivi zunguka kwenye hizo library uliza wanavyofanya{hapo kwenye kuuliza najuwa watakubania} usikate tamaa wewe uliza pengine, najuwa wengine watakuambia ukweli wengine watakudanganya na kukuvunja moyo usikate tamaa,chukua data kwa mwezi mmoja inatosha,sasa zipitie zote taratibu hapo ndo utajua pakuanzia kufanya revolution kama za MAMADY TOUMBOUYA.

MCHANGANUO WA MILLIONI MOJA NA NUSU{I500000} WA BIASHARA YA LIBRARY..

1.FREMU AU BANDA{LA CHUMA AU BATI}.
Tafuta fremu mahali penye mzunguko wa watu,{iwe bara barani au ndani uswahilini}
FREMU barabarani unaweza pata kwa {60000-80000} kwa mwenzi,
FREMU uswahilini unaweza pata kwa {40000-60000} zingatia hapa ela inaweza badilika kutofautiana na mahali ulipo ila nimeandika kwa wakazi wa dar ila wa mkoani jaribu kufanya uchunguzi wa mahali ulipo wewe.
kama fremu itakuwa ghali sana unaweza jenga banda la CHUMA au la MBAO,MABATI.gharama la banda la chuma linaweza kukugharimu {800000 au zaidi ya hapo.
banda la mbao au mabati unaweza jenga kwa 350000 au zaidi ya hapo.

VIFAA VYA LIBRARY.

1.COMPUTER
Hapa kwenye computer ndo mahali pakuzingatia sana ili upate kifaa kinzuri na chenye uwezo mnzuri wa kufanya kazi fasta,tafuta computer yenye best intel processor:core i3,i5,i7 na i9.processor ikiwa nzuri itakuhakikishia kazi ya kucorvet,kutransfer file,kudownload music na movies ifanyike faster
computer yenye specifications nzuri unaweza pata kwa [350000-450000}.

2.SUBWOOFER NZURI {50000 nazaidi ya hapo}.

3.NUNUA INTERNAL HARD DRIVE 4 tb {200000},kwa ajili ya movies tu,NUNUA EXTERNAL HARD DRIVER 1tb {80000-150000} kwa ajili ya music tu.

4.TOA LAKI 3{300000} Kanunue movie zinazotrend sokoni kwa wakati huo,hapa ndo pakuzingatia sana kama unakumbuka mwanzoni nilikuambia ufanye uchunguzi wa kuzunguka kwenye hizo library kwa mwezi mmoja ili kukagua cd zinazotambaa,na cd zinazofanana kila library uliyokwenda lengo lilikuwa ni kukariri cd zinazopendwa kuwe kwa library maana kwamba zinawateja wengi.

5.toa {150000}kanunue viti vya wateja,cha kwako cha kukalia ofisini,meza ya desktop,toa {50000]TENGENEZA shelfu za kuwekea cd ulizonunua.kama hii hapa itaendelea

IMG_20180101_070123.jpg


IMG_20180101_070039.jpg
 
Nimekaa Arusha system yao ya uingizaji movie nimeupenda wao hakuna makava ya cd yaliyoning'inizwa ,Bali unaenda na frashi yako unawekewa movie au wanakuwa na zike cd empty .

wanakuwa na movie za HD (zisizo tafsiriwa tsh 500) na zilizo tafsiriwa tsh300 kwa series na single movie tena muvie zao latest kabisa wengine wanakuwa na Netflix , series episode moja buku wanaweka ,na kwa zile muvie zinazo trend wanaziprint wanaweka kwenye board kuonyesha wanazo pia wanakuwa na tv unawekewa kwa juu inakuwa inaonyesha trailer za movie yaani inavutia wateja ukipita njia ukiona trailer Kali unatamani akuwekee

Na uzuri watangazi wa kule Arusha hawachelewi muvie ikitoka tu wanaitafsiri then wanawauzia hao wenye library.. yaani jamaa wanakamata wateja balaa wanaopenda zilitafsiriwa na ambazo hazija tafsiriwa lkn library zetu nyingi za huku nilizoziona wanajaza makabrasha kibao na muvie za zamani
 
Sema zaman watu wamepata faida kubwa sana kutokana na hii kitu ...
 
sema zaman watu wamepata faida kubwa sana kutokana na hii kitu ...
Kaka Hata saiz Kuna watu wanapiga pesa tatizo watu wamekosa tu strategy ya hii biashara mm nilivyoona wale jamaa waarusha nikona kumbe hii biashara inaweza kukupa mtaji mzuri.

Mm niliokuwa na wananiwekea muvi waliniunganisha hadi group lao WhatsApp kunipa update za movie mpya na Kama hizi muvie wanazo penda wakina mama za wahindi wanewakamata balaa
 
Kaka Hata saiz Kuna watu wanapiga pesa tatizo watu wamekosa tu strategy ya hii biashara mm nilivyoona wale jamaa waarusha nikona kumbe hii biashara inaweza kukupa mtaji mzuri.

Mm niliokuwa na wananiwekea muvi waliniunganisha hadi group lao WhatsApp kunipa update za movie mpya na Kama hizi muvie wanazo penda wakina mama za wahindi wanewakamata balaa
Yes hadi sasa ila inategemea na eneo ...hii kitu nakiheshimu sana zaman kidogo iliwahi nipa maisha
 
Nimehamasika hata na Mimi nije niifanye hii biashara na hivi nilivyo na hobby na movie 😁😁
 
kweli hata ofice inapendeza,tatizo la dar ushamba mwingi mpaka waone cd ya mtu fulani ndo wachukue
 
Habari wana jukwa hili tamu,moja kwa moja ngoja nienda kwenye point,kuna biashara ya LIBRARY YA KUINGIZA NYIMBO NA KUKODISHA CD ni biashara inayoonekana ya kawaida sana,ila ni biashara yenye pesa nyingi tu,ninaposema pesa nyingi nina maana faida kibao,isiyo na presha ya mtaji kukata,mara bidhaa zitaoza n.k.

Ili upate faida inakupasa uifanye tofauti na wenzako wanavyoifanya huko mtaani,kabla ya kufungua hii biashara kwanza fanya mchunguzi wa kina kama mwenzi mmoja hivi zunguka kwenye hizo library uliza wanavyofanya{hapo kwenye kuuliza najuwa watakubania} usikate tamaa wewe uliza pengine, najuwa wengine watakuambia ukweli wengine watakudanganya na kukuvunja moyo usikate tamaa,chukua data kwa mwezi mmoja inatosha,sasa zipitie zote taratibu hapo ndo utajua pakuanzia kufanya revolution kama za MAMADY TOUMBOUYA.

MCHANGANUO WA MILLIONI MOJA NA NUSU{I500000} WA BIASHARA YA LIBRARY..

1.FREMU AU BANDA{LA CHUMA AU BATI}.
Tafuta fremu mahali penye mzunguko wa watu,{iwe bara barani au ndani uswahilini}
FREMU barabarani unaweza pata kwa {60000-80000} kwa mwenzi,
FREMU uswahilini unaweza pata kwa {40000-60000} zingatia hapa ela inaweza badilika kutofautiana na mahali ulipo ila nimeandika kwa wakazi wa dar ila wa mkoani jaribu kufanya uchunguzi wa mahali ulipo wewe.
kama fremu itakuwa ghali sana unaweza jenga banda la CHUMA au la MBAO,MABATI.gharama la banda la chuma linaweza kukugharimu {800000 au zaidi ya hapo.
banda la mbao au mabati unaweza jenga kwa 350000 au zaidi ya hapo.

VIFAA VYA LIBRARY.

1.COMPUTER
Hapa kwenye computer ndo mahali pakuzingatia sana ili upate kifaa kinzuri na chenye uwezo mnzuri wa kufanya kazi fasta,tafuta computer yenye best intel processor:core i3,i5,i7 na i9.processor ikiwa nzuri itakuhakikishia kazi ya kucorvet,kutransfer file,kudownload music na movies ifanyike faster
computer yenye specifications nzuri unaweza pata kwa [350000-450000}.

2.SUBWOOFER NZURI {50000 nazaidi ya hapo}.

3.NUNUA INTERNAL HARD DRIVE 4 tb {200000},kwa ajili ya movies tu,NUNUA EXTERNAL HARD DRIVER 1tb {80000-150000} kwa ajili ya music tu.

4.TOA LAKI 3{300000} Kanunue movie zinazotrend sokoni kwa wakati huo,hapa ndo pakuzingatia sana kama unakumbuka mwanzoni nilikuambia ufanye uchunguzi wa kuzunguka kwenye hizo library kwa mwezi mmoja ili kukagua cd zinazotambaa,na cd zinazofanana kila library uliyokwenda lengo lilikuwa ni kukariri cd zinazopendwa kuwe kwa library maana kwamba zinawateja wengi.

5.toa {150000}kanunue viti vya wateja,cha kwako cha kukalia ofisini,meza ya desktop,toa {50000]TENGENEZA shelfu za kuwekea cd ulizonunua.kama hii hapa itaendelea

View attachment 1950829

View attachment 1950830
Biashara hiyo hapo
 
Nimekaa Arusha system yao ya uingizaji movie nimeupenda wao hakuna makava ya cd yaliyoning'inizwa ,Bali unaenda na frashi yako unawekewa movie au wanakuwa na zike cd empty .

wanakuwa na movie za HD (zisizo tafsiriwa tsh 500) na zilizo tafsiriwa tsh300 kwa series na single movie tena muvie zao latest kabisa wengine wanakuwa na Netflix , series episode moja buku wanaweka ,na kwa zile muvie zinazo trend wanaziprint wanaweka kwenye board kuonyesha wanazo pia wanakuwa na tv unawekewa kwa juu inakuwa inaonyesha trailer za movie yaani inavutia wateja ukipita njia ukiona trailer Kali unatamani akuwekee

Na uzuri watangazi wa kule Arusha hawachelewi muvie ikitoka tu wanaitafsiri then wanawauzia hao wenye library.. yaani jamaa wanakamata wateja balaa wanaopenda zilitafsiriwa na ambazo hazija tafsiriwa lkn library zetu nyingi za huku nilizoziona wanajaza makabrasha kibao na muvie za zamani
Arusha pia toka 2020 wengi hawatumii cd, na asilimia kubwa wanatumia Flat tv, Kuna jamaa anaitwa Bob Geor, Ni mfano wa watu wanaofanya hizo biashara naona yeye hakuichukulia kwa urahisi, Ukiingia kwenye studio yake unaweza sema ni office ya Customer care ya Startime[emoji23]

Jamaa wabaifanya hii biashara kisasa,
 
Arusha pia toka 2020 wengi hawatumii cd, na asilimia kubwa wanatumia Flat tv, Kuna jamaa anaitwa Bob Geor, Ni mfano wa watu wanaofanya hizo biashara naona yeye hakuichukulia kwa urahisi, Ukiingia kwenye studio yake unaweza sema ni office ya Customer care ya Startime[emoji23]

Jamaa wabaifanya hii biashara kisasa,
Kwa arusha wanaita studio ya movie yani office ipo safi sana
 
Back
Top Bottom