Kuuza na kukodisha movie: Biashara simple faida kubwa

Kuuza na kukodisha movie: Biashara simple faida kubwa

Arusha pia toka 2020 wengi hawatumii cd, na asilimia kubwa wanatumia Flat tv, Kuna jamaa anaitwa Bob Geor, Ni mfano wa watu wanaofanya hizo biashara naona yeye hakuichukulia kwa urahisi, Ukiingia kwenye studio yake unaweza sema ni office ya Customer care ya Startime[emoji23]

Jamaa wabaifanya hii biashara kisasa,

Nampata uyo mwamba yupo pale shopaz unapewa na pipi kabisa Jamaa sababu za kuwa mteja wake nilienda kumuomba anichajie simu yangu ilizima…Vile alinipokea nikanunua chaji na kuweka movie tatu akanipa na moja Bure oyaaaaa Jamaaa wako vizuri sana[emoji91]
 
Back
Top Bottom