BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Tabiya=TabiaHiyo ni Tabiya Yako na siyo ya wengine
so tuuze niniKatabia haka kakikushika unaweza kujikuta ndani umebaki na mkeka tu kinachoumiza zaidi ni kuuza vitu kwa bei ya hasara. Yote hii ni kukosa chanzo cha uhakika cha pesa.
Mbaya zaidi haka katabia akiwa nako kiongozi wa juu basi ujue Taifa litakuwa na hali mbaya ndio hapo utasikia ubinafsishwaji wa mali za umma unachukua nafasi
Twigle mitle bindare v/ndegleso tuuze nini
Tena umasikini wa kiwango cha juu.Kuuzauza vitu vya ndani ni hali ya umasikini iliyomkumba mtu