Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Kuna dem1 mara nyingi huwa tunakutana, wakati
naanza kumchakachua huwa namuomba avue msaraba,lakini yeye hukataa katakata,mimi nakuwa sina jinsi naendelea na uchakachuaji huku nikiukodolea msaraba kwa hofu,Swali
Kwa wana JF
hivi hakuna ubaya kuvaa msaraba wakati wa uchakachuaji???
naanza kumchakachua huwa namuomba avue msaraba,lakini yeye hukataa katakata,mimi nakuwa sina jinsi naendelea na uchakachuaji huku nikiukodolea msaraba kwa hofu,Swali
Kwa wana JF
hivi hakuna ubaya kuvaa msaraba wakati wa uchakachuaji???