SI KWELI Kuvaa nguo nyekundu kunasababisha kupigwa na radi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ngoja nikupe hii elimu kifupi sana itakufanya uachane na hizi imani, Iko hivi mawingu ya mvua kwa juu ni positive charged (+) na kwenye kitako/base yake yaani uanvyonyanyua kichwa chako juu kuyatazama mawingu juu ndo chini yake (base/kitako cha mawingo) so hii base ya chini ya mawingu ni negative charged in nature (-) sasa mkuu dunia yetu yaani ardhi ya dunia yetu ni positively charged in nature (+) kwahiyo tunajua alike charge (+) + (+) = repels each other/zinakwepana hivyo unlike charge (+) + (-) = attracts each other, kale ka mchezo ka kukwepesha sumaku zenye ncha zinazofanana na ambazo hazifanani zinavutana ndo katumie hapo kwenye mfano wa chaji za radi na ardhi..! Hivyo charge ya RADI huwa inavyutwa kuja duniani kwa sababu chaji ya radi ni hasi/- na ya dunia ni chaji ya chanya/..

............Sasa viumbe wenye madini mengi ya chumvi na chuma kama minyoo, hao mijusi, kuku na wengineo wenye madini rafiki ya kupitisha umeme ndo wako hatarini sana na vitu vya chuma vilivyo chomoza, minara ya simu, miti mirefu, milima, magorofa, nguzo za umeme vyote huwa vya kwanza kufikiwa na umeme wa radi kwa URAHISI kabla haijatua chini ya ardhi, ndo maana kitaalamu haushauriwi kuegemea hivyo vitu pindi mvua inaponyesha unaamua kukimbia sehemu ya tambalale ya ardhi mbaya zaidi unanyeshewa mvua na maji yanapitisha umeme wakati radi ikipiga kabla ya kuifikia ardhi itaanzia kwenye ubongo wako au eti unajikinga na mvua unaenda kuegamia mti kitakachokukuta watu wasio na elimu watadai umetumiwa radi na wachawi kumbe wewe ndo umeenda kukaa kwenye njia ya radi inapopita ili ishuke aridhini kwanini isipite na wewe..

Ukisoma Physics au sayansi kwa ujumla haya ma imani mengine mtaani utagundua ni ujinga flani seriuos watu wana aminishana sana na kurithishana kizazi na kizazi....
 
Asante sana mkuu umedadavua vyeeeema
 
Kuna watu hupigwa rad kiangazi jua kali kichiz
 
Ila kwann maradi hutokea kipind cha mvua
 

The colour red doesn’t attract lightning, and covering the mirrors in a house won’t make a difference. Syringa trees aren’t more strike-prone than other tree species of similar height, and a tyre on the roof won’t drive lightning away.

But these won’t make you less safe. It is other myths that can kill.
The thick rubber soles of hiking boots won’t electrically isolate you from the ground and keep you safe — they’ll just melt on to your feet if you’re struck.
It’s the metal enclosure and not the tyres of a car that makes being inside one safe. The forces involved are far too powerful to be stymied by such small elevation — so riding a motorcycle in a thunderstorm is a very bad idea.

The beliefs most likely to kill, though, are the supernatural.
“Many South Africans believe some people can control lightning,” says Estelle Trengove, a Wits lecturer who has worked in the field. “Sometimes the belief is that natural lightning won’t kill you but that man-made lightning can be sent to target you.”
That is where muti buried around the house or rubbed on to the skin comes in. Though harmless in itself, the resulting sense of invulnerability doesn’t help. Also, if you think man-made lightning caused a death, it may seem a good idea to stop the person responsible.
Trengove is studying myths. She believes dismissing them as superstitious nonsense will achieve nothing.

Avoiding a strike
Ryan Blumenthal, a senior specialist at the forensic medicine department at the University of Pretoria, has conducted autopsies on the victims of lightning strikes, examined animals killed by lightning, written academic papers on safety precautions and spoken at schools and clubs about safety in thunderstorms. Yet he boils down all his experience to one catchy phrase: “When lightning roars, go indoors.

“Around the world lightning is the most consistent weather killer and the most preventable,” Blumenthal said. “There’s only so much you can do about a tsunami but with lightning some simple rules will keep you safe.”
The easiest rules to follow also dramatically reduce the risk of injury. Get out of the open, off or out of water and into a house or car with a full metal roof. Once inside, stay away from landline phones and anything plugged into a wall socket.
If you’re caught outside, things get more tricky. Stay well away from trees and anything tall. Get down from the tops of hills and ridge lines.
If you have to sit out a storm, resign yourself to getting wet and crouch down with your feet tightly together and no other part of your body touching the ground.

‘One moer of a bang’
To completely rule out being struck by lightning you need to go a little further. Until three decades ago you could be forgiven for constructing a nuclear reactor or ammunition dump, erecting a really tall copper pole next to it, and congratulating yourself on a job well done.
Then we found out about positive lightning. About 80% of all lightning jumps from cloud to cloud, never presenting a threat, and almost every strike that hits the earth is classic negative-downward, which seeks out the highest available point and adores lightning conductors. A very small number of strikes, however, are positive lightning.

“Sometimes you can hear it,” said Ian Jandrell, a Wits lightning professor. “It goes ‘bang’, ‘bang’, ‘bang’, ‘bang’, ‘bang’, then it goes quiet — and then there’s one moer of a bang. That’s positive lightning, which comes towards the end of the storm when the negative charge has been depleted.”

Positive lightning breaks the rules. It touches down where it pleases, ignoring masts and other high points. It is usually far more powerful and so causes more destruction.
The only way to protect against such strikes is expensive: enclose everything in a grid of interconnected conductors, preferably a tight one, then connect as much of that grid as you can to conductors buried deep in the ground. Then cower inside any time a cloud comes within 100km and you’re safe — at least until we learn something new about the nature of lightning.

Tags: Lightning Strike, MYTHS, Phillip De Wet, South Africa
 
Mkuu nataka hii post isinipotee nafanyeje nataka niisome mara nyingi zaidi😍😍😍
 
Vipi kuhusu matumizi ya simu wakati mvua inanyesha! Nayo ina ukweli kuwa ukitumia simu wakati wa mvua utapigwa radi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…