Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari za wikiendi?
Naomba kuuliza wadada/wanawake wote hasa wa Tz imezuka tabia mbaya sana ya kuacha mabega wazi kwa magauni/blauzi zao?
Lengo ni kitu gani waonekane wana Chuchu saa 6 zisizotaka Brazia au wanakuwa wanapepo la umalaya au shida ni kitu gani?
Wengine bila aibu wanavaa hadi kwenye nyumba za ibada.
Badilikeni aisee mnajidhalilisha sana na kuonekana kituko.
Naomba kuuliza wadada/wanawake wote hasa wa Tz imezuka tabia mbaya sana ya kuacha mabega wazi kwa magauni/blauzi zao?
Lengo ni kitu gani waonekane wana Chuchu saa 6 zisizotaka Brazia au wanakuwa wanapepo la umalaya au shida ni kitu gani?
Wengine bila aibu wanavaa hadi kwenye nyumba za ibada.
Badilikeni aisee mnajidhalilisha sana na kuonekana kituko.