Kuvaa nguo ya mabega wazi huwa ina lengo gani?

Kuvaa nguo ya mabega wazi huwa ina lengo gani?

To sexualize everything in the name of fasion ndiyo plan.Na dhambi ya zinaa impate kila mwanaume timamu.
Ni hatari sana muovu alivyo na nguvu.
 
Habari za wikiendi?

Naomba kuuliza wadada/wanawake wote hasa wa Tz imezuka tabia mbaya sana ya kuacha mabega wazi kwa magauni/blauzi zao?

Lengo ni kitu gani waonekane wana Chuchu saa 6 zisizotaka Brazia au wanakuwa wanapepo la umalaya au shida ni kitu gani?

Wengine bila aibu wanavaa hadi kwenye nyumba za ibada.

Badilikeni aisee mnajidhalilisha sana na kuonekana kituko.

View attachment 2729550
Halafu mgongo wenyewe haupati dodoki. Ila kuna wale wanaofunika mabega na migongo, sio kuwa wana heshima, bali wanaficha 'chale' walizochanja au chanjwa!!
 
Dada zetu Kila fashion wanaitaka bila kujali lengo la fashion husika, na bahati mbaya sana fashion za sasa zote zinahusisha kuacha maungo ya mwanamke wazi
 
Back
Top Bottom