Kuvaa night dress kwa wanandoa/wapenzi...

fellow tablet huyo jamaa habari zisizo rasmi zinasema walimdaka border la zimbabwe anauza zahabu feki, sasa sjui kama ataluudi tena JF
Asijekuwa anaokota shanga akidhani dhahabu.......watamcheka kina Lizzy na AD.

Loliondo hakuna zali babu. Kule ni genye free zone...
Hili angalizo...kwa hiyo unapiga kavu, unawahi kikombe fasta!

Yani ukipata ngoma hapo hata babu hawezi kutibu!
Babu anatibu magonjwa yote, ikiwemo ngoma....you have been notified!
 
Sasa hapo ndo shida ilipo....badala ya kulea wanakula!

Lizzy kwani wewe ukiwa unapika msosi huwa hauonji hata kama unapikia wageni?
 
Ameenda
kuongea na Invisible
kuhusu MMU..
lakini bado anamtafuta..
Tumpe miezi 2 zaidi
kama hajampata tumwambie
arudi tuu lol
Invizibo mwenyewe kaanzisha JF halaf yeye anakesha fesibuk. huoni hata ban zimepungua.
 
Inategemea zali limekuangukia ukiwa wapi.....kama ni Loliondo kwa babu huko, hoteli utaipatia wapi nawe una kiu ya kufa na mwanamke?

Babu umeua mazima,
Subiri ofa yangu ya Valluuu!!!
 
Niliambiwa na "WAKWERE" kuwa mwanamke akiolewa hastahili kulala na nguo! Sijui night-dress ni skin-dress au dress-dress?
 
Heee, Afrodenz vipi, mbona hiyo signature yako imenishtua, tukumbushane bac kidogo au vipi?

Hiyo signature
iache tu mpenzi
kwa sababu bado hata wiki hijaisha
Tangu nikubwe...
Nilicho gundua inauma
zaidi ikitokea kwako..
 
Hahahah
nikimwona invi
nabinyeza report baton
hawezi kutu kana kama
Yuda eskirioti lol..
halaf samtaimu kule fesbuk anajisahau anaweka sheria za JF, wee tembelea profile yake uone. (nikipigwa ban naomba unianzishie sredi)
 
halaf samtaimu kule fesbuk anajisahau anaweka sheria za JF, wee tembelea profile yake uone. (nikipigwa ban naomba unianzishie sredi)

Hahahah
tutakunywa
wote kikombe hichi
Cha hukumu usijali
thread utapata ..
tutamwomba invi arudi
Huku ili watu wasichafue hiyo thread..
Au Dena anatosha hahahahahahahah lol
 
Hahahah
tutakunywa
wote kikombe hichi
Cha hukumu usijali
thread utapata ..
tutamwomba invi arudi
Huku ili watu wasichafue hiyo thread..
Au Dena anatosha hahahahahahahah lol
Mbona unapenda kuandika style hii ya "kipiramidi"? some times nakua sielewi unachoandika!
 
Mi naona kama sio vizuri kwa wanandoa au wapenzi kulala kitanda kimoja huku mmevaa night dresses. Sijui mi mshamba!!!!!!!! Hebu kwa wenye maoni tofauti watoe ili labda nifikirie upya...

Unataka ikisimama wewe nikumega tu
 
Mbona unapenda kuandika style hii ya "kipiramidi"? some times nakua sielewi unachoandika!

Daahh
samahani mkuu
Ni mazoea tu mmhh
sasa hapo huelewi nilicho
Andika au huelewi maandishi yalivyo?
 
Hahahah
tutakunywa
wote kikombe hichi
Cha hukumu usijali
thread utapata ..
tutamwomba invi arudi
Huku ili watu wasichafue hiyo thread..
Au Dena anatosha hahahahahahahah lol
aaamen!
 
...ohh, wengine tukisjajifunga msuli, na mamie khanga aah, shwari kabisa na joto hili la Dar.
 
Hivi night dress inanoga ikiwa na kufuri ndani au kavu kavu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…